LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,300
Raha ya melele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie,Kijana mwenye afya tele R.I.P
MKATUMENI KOMWE DIVISHENI FOO
SALAMU ZA POLE ZITAWASLISHWA NA NDEGE secretarybird
Polisi upelelezi uanzie kwenye mtandio na hapo kitaeleweka tu.
Baada ya salamu hizo kutoka kwa ndege, nafasi hii atasema neno kwa wanachuo wa TumainiRaha ya melele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie,
Amen 🙏.
Leejay49 kwenye uzi wako ulimaanisha huyu