WAna janvi age is just a number, Nina rafiki yangu Ana miaka 42, amepata mchumba Ana miaka 49, wanapenda na sana wanataka kuoana, nini maoni yako?
Huja sema nani 42 na nani49
Je mwanaume ndiye 42 na mwanamke 49??????
Hebu weka sawa tushauri tuonavyo ndugu:A S confused:
hapo hakuna tatizo kabisa kama wanapendana..kimbembe kipo tu wakitaka mtoi huyo mwanamke wa 49 ataconceive na akiconceive mtoi atazaliwa akiwa ok???kwani wataalam wanasema kwa mwanamke akifikisha 45 kupata mtoi ni shida kidogo au anaweza kuzaliwa akiwa na mushkeli...ni maoni tuu.
Huja sema nani 42 na nani49
Je mwanaume ndiye 42 na mwanamke 49??????
Hebu weka sawa tushauri tuonavyo ndugu:A S confused: