Mwana Simba Haji Manara amewazidi akili Yanga

Mwana Simba Haji Manara amewazidi akili Yanga

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,289
Reaction score
5,741
Haji Manara anakwenda kufaidika na msimamo wa yanga katika kila matokeo ya uamuzi wa kugomea mechi

Yanga kama hawatapeleka timu, kanuni zitafuatwa, Simba atafaidika na maamuzi. Hili likifanyika jamaa ataenda kuchekea chooni! Mwana Simba huyu. Siku akifa ndio atakuwa Yanga maana aliapa mwenyewe.

Pili hasira za wanayanga dhidi ya mtesi wake ( Haji) Karia zitamfanya achekee sebuleni kwake huku akijisifu kuwa master mind wa tukio lote.

Wanayanga starring wa hii muvi ni Haji Manara.

Ndio kapanga haya matukio yote kuanzia makomandoo kuwazuia Simba, kupanga Simba waende na wazee wafupi na mbuzi, Simba kuandika barua ya kutokwenda kwenye mechi (hapa ilikuwa danganya toto maana wangecheza tu), bodi ya ligi kuahirisha mechi na hatimae Manara kuwa mshindi kwa kuhamasisha manyumbu watoe matamko nchi nzima.

Bado tu tukio kubwa la Yanga kutopeleka timu hapo malengo ya Haji yatakuwa yametimia.
 
Duuh naona kwenye hili sakata propaganda zishakuwa nyingi kila mtu kageuka mchambuzi anaongea lake, basi na mimi acha niseme simba walitafuta sababu ya kugomea mechi maana walijua yanga wangekamia ile mechi na kuwaumiza wachezaji wa simba, hivyo baadhi wangekosekana kwenye mechi ngumu za robo fainali cafcc hasa ukizingatia yanga hawako kwenye mashindano yoyote ya kimataifa hivyo hawakuwa na la kuhofia kuhusu wachezaji wao kuumia
 
Yanga wenye akili si wawili tu tayari idadi ni kubwa, Hersi yumo pia, derby hakuna na kama TFF ikishindwa kutupa points tatu tutaenda CAS , nao wakifeli tutaenda Fifa, nao wakifeli tutaomba technical advice kutoka UEFA, hatutakwama mahali hadi pachimbike , makolo msifanye watu wajinga, kukimbia mechi hii itakuwa mara ya mwisho. Ngoma bado mbichi uhuni uishie msimbazi street
 
Haji Manara anakwenda kufaidika na msimamo wa yanga katika kila matokeo ya uamuzi wa kugomea mechi

Yanga kama hawatapeleka timu, kanuni zitafuatwa, Simba atafaidika na maamuzi. Hili likifanyika jamaa ataenda kuchekea chooni! Mwana Simba huyu. Siku akifa ndio atakuwa Yanga maana aliapa mwenyewe.

Pili hasira za wanayanga dhidi ya mtesi wake ( Haji) Karia zitamfanya achekee sebuleni kwake huku akijisifu kuwa master mind wa tukio lote.

Wanayanga starring wa hii muvi ni Haji Manara.

Ndio kapanga haya matukio yote kuanzia makomandoo kuwazuia Simba, kupanga Simba waende na wazee wafupi na mbuzi, Simba kuandika barua ya kutokwenda kwenye mechi (hapa ilikuwa danganya toto maana wangecheza tu), bodi ya ligi kuahirisha mechi na hatimae Manara kuwa mshindi kwa kuhamasisha manyumbu watoe matamko nchi nzima.

Bado tu tukio kubwa la Yanga kutopeleka timu hapo malengo ya Haji yatakuwa yametimia.
Haji amewatia kidole wana yanga na walivyo mazuzu wanamshangila kama shujaa wao kumbe kawaingiza chaka nene sana.
 
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
 
Back
Top Bottom