Mwana Mfalme MBS amuambia Trump aendelee kutoa Kipondo kwa Magaidi wa IRGC

Mwana Mfalme MBS amuambia Trump aendelee kutoa Kipondo kwa Magaidi wa IRGC

inchaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
2,628
Reaction score
5,425
Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ameripotiwa kumshawishi Rais wa Marekani, Donald Trump, kuendelea kuongeza shinikizo dhidi ya Iran, akieleza kuwa mgogoro huo ni “fursa ya kihistoria” ya kubadilisha nguvu za kisiasa katika Mashariki ya Kati na kudhoofisha utawala wa Iran.

Inaelezwa kuwa mataifa ya Ghuba, hasa Saudi Arabia, yanaanza kuchukua msimamo wazi zaidi huku mvutano ukiongezeka, na baadhi yao yakikaribia kuunga mkono hatua za kijeshi dhidi ya Iran kufuatia mashambulizi ya karibuni.

Kwa ujumla, hali ya eneo hilo inaonyesha wazi kuwa mataifa makubwa yanaanza kujipanga upande mmoja au mwingine, huku nafasi ya kubaki katikati (neutral) ikizidi kuwa ndogo
 
Hawa ndio waislam wa kweli halafu unakuta na wapagazi wao nao eti wanajiita waislamu, inachekesha sana.
 
Huyo siku zake haziko mbali wacha aingie mzima mzima Iran alikuwa anamtafutia sababu tu. USA atamkimbia kama anavyo taka kumkimbia Israel na hata Israel anaomba eti vita visimame mwezi mmoja hahaha

Iran kisha maliza mchezo sa hivi hawana hata Radar zote zimemalizwa leo imemalizwa ilio bakia kule Eilat city
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=09315e9BJA4

MBS kumeimarisha mtazamo kwamba Saudia haiwezi tena kuishi pamoja na utawala wa Iran wenye msimamo mkali, maana ni tishio la kweli hivyo hakuna faida tena ya kuamini Saudia Arabia haitoshambuliwa tena na watawala wahafidhina wendawazimu wa Iran ambao wanaamini katika kurusha makombora ovyo ovyo
 
Back
Top Bottom