Mwana FA ft. G Nako - Mfalme [lyrics]

Acha uchonganishi. Yani unajaribu kusema alitumia muda wote kuandika huu wimbo ili amjibu Jide?
Una nufaika na haya mabifu?
 
Hata wakimnyima tuzo but honestly Marco ni Mkali na hata nyimbo za wakongwe ukiona producer mwingine but lazima mixing ukute kafanya Marco...
I appreciate this dude.
Huyu ni one of my best producers of every year:
Sasa hivi ana nyimbo
Asante ya Ay
God zilla ft Marco chali
Mfalme FA ft G.nako
 
Huyu ni one of my best producers of every year:
Sasa hivi ana nyimbo
Asante ya Ay
God zilla ft Marco chali
Mfalme FA ft G.nako

Same to me nilianza kumkubali tangu yupo kamakawa records na ile Single ya FA ya B.i.n.a.m.u, since 2006 jamaa hajawahi kuniangusha kutoa beat mbovu.
 

Vipi kuhusu Nangoja ageuke, Asubuhi, Habari ndio hiyo?! Kwangu AY wa sasa ni msanii wa kawaida sana, ukilinganisha kipindi kile ndio anatoka. Sema video zake ndio zinambeba.
 
Ila hivi FA hawezi kuimba wimbo bila kuweka neno kicheche kwenye punchline zake...
Ye mwenyewe na mabinti dam dam atashindwaje kuwataja wenzake?[/QUOTE]

Haaaaaa ni kama Mh Temba na Kachumbari
♥"tungi vicheche mineli hakuonekana kujali lkn alikufa kwa ngoma"♥
 
Vipi kuhusu Nangoja ageuke, Asubuhi, Habari ndio hiyo?! Kwangu AY wa sasa ni msanii wa kawaida sana, ukilinganisha kipindi kile ndio anatoka. Sema video zake ndio zinambeba.

Yaani bro u have spoken my mind, sijui nadhani siku hizi ameacha kufanya ile staili yake ya 'commecial' kiukweli ndo ilikua inampendeza!!
 
viko vingi vya kuomba kabla ya kuomba utajiri....hata mfalme Suleiman aliomba hekima badala ya utajiri.
 
cna hata mia ya urithi vyote hv ni vya kwangu,nishaenda shule bila viatu nishatoa funza zaidi ya buku,ipo cku utaniheshimu au utaheshimu fedha zangu.
 
You real deserve yo name kweli umeimba kifalsafa zaidi waache wasiotumia akili kuropoka maisha ya watu wasiyoyajua.


Ila hivi FA hawezi kuimba wimbo bila kuweka neno kicheche kwenye punchline zake...

hahahahahahahahaha! kweli jamaa anapenda vicheche sana sijui vimemfanya nini

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…