PreGE2025 Mwana FA afunguka faida za mashindano ya Samia Cup

PreGE2025 Mwana FA afunguka faida za mashindano ya Samia Cup

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

upupu255

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
341
Reaction score
476
Naibu Waziri wa Michezo Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA akigusia kwa uchache faida zinazoweza kupatikana kutoka kwenye Samia Celebrities and Companies Cup.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mashindano hayo yalianzishwa msanii wa Bongo Fleva, Alikiba, yenye lengo la kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan katika maendeleo ya michezo na burudani nchini.

Pia, Soma: Alikiba aja na mashindano ya kumpigia debe Rais Samia 'Samia Celebrities and Companies Cup'
 
faida gani inaanza kabla ya kujua mwanzoni?.Huyu elimu yake aliyosomea wingereza ilikuwa ya kuongeza chunvi kwenye salad za wazungu
 
Tupo na nyie mpaka mzindue Samia Condoms, Samia Sanitary Pads na Samia Toilet Paper.
 
Back
Top Bottom