GE2025 Mwamposa achangia milioni 50 Kampeni za CCM Uchaguzi Mkuu 2025

GE2025 Mwamposa achangia milioni 50 Kampeni za CCM Uchaguzi Mkuu 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,581
Reaction score
10,110
Mtumishi wa Mungu Boniface mwamposa amechangia Milioni 50 kwenye kampeni za CCM katika harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM , katika hafla inayofanyika usiku huu

 
Kwanini wanataja si wachangishe kwa siri pasina kutaja hivyo viasi.
 
Mtumishi wa Mungu Boniface mwamposa amechangia Milioni 50 kwenye kampeni za CCM katika harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM , katika hafla inayofanyika usiku huu
Mchango wake ni pamoja na kutoa wahamasishaji wa sadaka yao ya kujimaliza kwa ccm pamoja na kuwa kidumu kimotoboka!
 
Na gwajima boy jasusi la mbinguni
Mpina tunae na hatuitaji shobo.

Full stop

Kwishaaaaaa
 
Back
Top Bottom