Mengine ongeza wewe. Mbona unataka kunipangia? Umeniudhi kwa kuileta bible kwenye ugomvi isipohusika.
Lepumbuzi aka lematakozi katika ubora wakoSasa si ungeongezea kama kuna mengine au.. na usinipangie cha kuandika.. andika yako.
Kama ka-generalize ngoja mie niiweke sawa .... JE HUKO KWENYE NYUMBA ZENU ZA IBADA MWAZIFUATA SHERIA ZILIZOMO KATIKA VITABU VYENU VITAKATIFU?Umejuaje kwenye nyumba za ibada zao wanatumia bible? Acha ku generalise!
Maana nyie ni wala sadaka tuNyie wanafiki wakubwa bomoleweni tu hakuna namna...
Huko kanisani ni unafiki mtupu