Mberoya
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 1,314
- 822
Rejea post ya mtoa mada PARAGRAPH YA 5 .... mistari miwili ya kwanza .... soma kwa makini ukiwa umetulia .... UBISHI si mzuri ..... asante pia kwa kuniambia SIJIELEWI
Rejea post ya mtoa mada PARAGRAPH YA 5 .... mistari miwili ya kwanza .... soma kwa makini ukiwa umetulia .... UBISHI si mzuri ..... asante pia kwa kuniambia SIJIELEWI
Akiwa kule kwa jirani zetu Kenya ... Mh. Eddo ali-announce kuwa atasimama kama PRESIDENTIAL CANDIDATE kupitia CHADEMA hapo 2020 ..... Maswali fikirishi:Yes mtoa maada hajakosea alivyo andika kuwa "Mwambieni sisi tunaihubiri demokrasia ya kweli tena yenye tija na manufaa kwa kila mtanzania akiwamo yeye mwenyewe."
Yesu alipokuwa anahubiri, mamlaka ya kirumi na mafarisayo walimpinga na hawakutaka kumsikiliza, lakini hiyo haikuzuia yeye kuto kuhubiri ukweli. Sawa na CDM wao lazima wahubiri democrasia mpaka mwisho ingawa ccm haitaki!
Hivi wewe unafikiri democrasia ya kweli hipo ccm?
1. Vikao vya CDM vilikaa na kupitisha hilo ndiyo sababu ya Mh. Eddo kutoa announcement yakusimama kama Prezida!Akiwa kule kwa jirani zetu Kenya ... Mh. Eddo ali-announce kuwa atasimama kama PRESIDENTIAL CANDIDATE kupitia CHADEMA hapo 2020 ..... Maswali fikirishi:
1.Ni vikao gani ndani ya CDM vilikaa na kulipitisha hilo jina kwa kinyang'anyiro cha URAIS 2020?
2.Je kuna kiongozi ama mwanachama yeyote ndani ya chama ambae amewahi kuhoji juu ya kauli hiyo ya mh. sana?
3.Na je hiyo ndo DEMOKRASIA YA KWELI ndani ya CDM?
Note: I'm not any political party's fan
Hata cdm hakuna demokrasia ila kuna tamko la mboe
Hizo ni sawa na ngojera za vijwe vya kahawa za kinafiki tu
Ebu kalaleni vijana!Munajaza huu uzi kwa post za ubishi usio na tija....