Mwambie mbunge wako

Mwambie mbunge wako

laun

Senior Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
111
Reaction score
26
Mwambie mbunge wako "umeibaka demokrasia,umeubaka ustaarabu,umeibaka haki na umeshiriki kwa kiasi kikubwa katika ubadhirifu wa mali za wananchi masikini kwa kugeuza bunge mahali pa mipasho , matusi , kejeli na mijadala ambayo haina tija"
Mwambie Mbunge wako "huna uwezo wa kujadili kushuka kwa kiwango cha elimu ,kwani hata wewe kiwango chako cha elimu ni kidogo licha ya kuwa na vyeti na ndo maana mnatukanana hadharani"
Mwambie tena " wananchi wamechoka kusikiliza matusi ,kejeli,ujinga na kebehi zenu "
Mwambie tena "unajua kuwa mtaani hali ni ngumu lakini kwa nini anakubali kulipwa ili watukanane "
Mwambie "Wananchi wamechoka sasa wanamshangaa,wakimaliza kushangaa sijui nini kitafuata"
Mwambie neno la mwisho "laana na iwe juu ya wote wenye dhamira mbaya na nchi hii"
 
Mbunge wangu GodBless Lema,

nafurahi kuona kuwa wewe ni mmoja kati ya mashujaa wanaopambana kujenga hoja za kupinga ushetani wa serikali ya ccm.
Usirudi nyuma, endelea na siasa zako za kijasiri.
Lema wewe ni mbunge wangu unayestahili pongezi kwa kazi njema uanyaoifanya bila uoga.

May God bless GodBless Lema.
 
Mbunge wangu Goòdluck olemedeye je ujamaliza kushangaa bungeni????
Unadhani tulikutuma kuhesabu viti bungeni?????
Mbona hujawahi kuchangia chochote?????au uelewi wachoongea wenzako
Ukirudi bungeni 2015 najinyonga
 
me mbunge wangu kagasheki, anachokifanya huku hakionekani, kakazania ligi na wamasai wa watu huku jimboni kwake kumemshinda, usitegemee kupata kura yangu 2015
 
mbunge wangu kwa sasa ni mh.abood! Je tulikutuma kuhunga mkono hoja kwa kuitikia ndio pasipo kuchangia??je bado unashangaa bunge lilivyo na uwezo wa kubeba watu juu na chini hata usiongee chochote mpaka sasa uko kimya??jimbo la mjini lililo maskini likiwa halina hata hadhi yakuitwa mjini>morogoro mjin...
 
Kp it up mbunge wangu mpendwa. Japo unapata tabu sana kuvumilia utumbo unao changiwa NA akili ndogo zilizo ingia hapo kwa kutaka umaarufu usife moyo we fanya kilicho kupeleka.

Leo nilikuona ukipata shida sana alipokua akizunguza yule mpiga soga wa tabora mjini na uyo mwenzake wa singida Nchemba . Mimi na jamii yangu tuna kukubali saana kaka na wala sijawahi kujutia kura yangu kwako.

Kp it up LEMA-A TAWN
 
Mbunge wangu Makongoro Mahanga, Subiri cha moto utakiona
 
Sisi jimbo la shinyanga mjini tuko kwenye mchakato wa kumuazima DEO FILIKUNJOMBE awe mbunge wetu
 
Mbunge wangu Mh. JJ Mnyika nakuamia sanan pamoja na kejeli zao, kaambiwa na Mwigulu eti "Wanaume wanapoongea, watoto wa kiume wakae kimya"
 
Back
Top Bottom