Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,067
- 34,829
kwahiyo hiii ni manmade!huyo mtoto amechongwa
Mkuu sisi tunataka vitu natural zaidi,ili kujitofautisha na wengine!Jabali limechongwa picha ya mtoto akiwa kwenye tumbo la mama yake. Ubunifu kama huu ungeweza kufanyika kwenye majabali yaliyopo njiani kama unatoka mikumi kuelekea Iringa!
Wamakonde mpo vizuri sana kwenye hii fani!Ngoja nami nikachonge ntwara kwetu
Nakubaliana na wewe mkuu!sanaa hiyo wandugu
Mkuu watu wanapenda vitu natural zaidi,hii haiwezi kuwa kivutio kizuri!Ukikitumia kipaji ulichojaliwa na mwenyezi Mungu alafu ukikiongezea na Maalifa ya Duniani vitu kama hivi lazima viwepo bonge la kivutio hichi.
Mkuu huu siyo mti,hili ni jabali!
Hii ni ya kuchonga mkuu!Kama jabali lenye umbo la picha ya mtoto tumboni kwa mamaye...mh kazi kwelikweli
Mkuu hili ni jabali!Ni mti kweli huu au macho yangu? Dr MziziMkavu bwana!