Mwamba kama mwamba Magufuli

Mwamba kama mwamba Magufuli

mbozimbozi kumwitu

Senior Member
Joined
Mar 8, 2025
Posts
158
Reaction score
187
Huko uliko mungu aendelee kukuweka,tulishindwa kukuelewa kipindi kile lkn kwa Sasa tungekuelewa vinzuri,endelea kupumzika kwa aman,kazi ulifanya.

 
Mlilia watu flani sana mnapata radha halisi siyo. Vyuma si mlizema vimekaza, akaja mama kavilainisha ...hahahaha
 
Hili dude halikufaulu kwenye issue ya demokrasia mpaka likammiminia Antipas risasi kama njugu,ila kwenye ulinzi wa rasilimali za taifa jamaa tutalikumbuka sana
Hatuko mbali tutajua nani wahusika waliotaka kumuua Lissu kwa risasi.
 
Hili dude halikufaulu kwenye issue ya demokrasia mpaka likammiminia Antipas risasi kama njugu,ila kwenye ulinzi wa rasilimali za taifa jamaa tutalikumbuka sana

waliofaulu kina nani? Tuambie mmoja, tukuambie mia moja walivyo waongo na walaghai.

Leo nikiona hii kamatakamata..na kesi na mambo ya ajabu ajabu..najiuliza...kwani leo kuna tofauti gani na jana na juzi?
 
Kuna watu nawajua walikuwa bandari na TRA wenyewe waliacha kazi 😄
Huo mpela mpela

Ova

JPM, yuko seat ya mbele.... Ana zoom na kucheka. Maana si kwa madhila haya. Yeye hakuwa mnafiki. Huu unafiki wetu ni dhambi mbaya sana. Bora anayesema A akamaanisha kuliko tunaovuruga vuruga tukijiita wajanja au watotio wa mjini.
Kwa gharama ya watanzania wanyonge na maskini
 
Back
Top Bottom