Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 523
Kutokana na hali ngumu nimepata kazi katika moja ya vyuo vya ufundi kutokana na elimu yangu ya degree na uzoefu kwenye ujenzi boss kanipa somo la plumbing sasa.
Anataka niandae syllabus.
Mwenye muongozo na hili anisaidie.
Anataka niandae syllabus.
Mwenye muongozo na hili anisaidie.