Mwalimu wa Sayansi anahitajika

Mwalimu wa Sayansi anahitajika

ALLY RIYAMI

Senior Member
Joined
May 26, 2012
Posts
115
Reaction score
15
Shule ya secondary compassion missionary sec school inaitaji mwalimu wa masomo ya chemistry na biology.shule ipo morogoro wilaya ya kilombero.dead line 1 december 2014 12.00p.m kama upo tanyari njoo sasa upigwe interview
 
mimi napiga Chemistry na Physics vp sasa? nipo hapa Morogoro mjini

kumbe ndo maana umemshangaa mwenzako wa geography but sio vizuri kwa wasomi kudharauliana coz kila kitu duniani kina umuhimu wake sio kwamba masomo fulani ni muhimu zaidi but ni uwezo na idadi tu halafu pia ipo siku masomo ya sayansi nayo yatakosa mashiko !!!!
 
Shule ya secondary compassion missionary sec school inaitaji mwalimu wa masomo ya chemistry na biology.shule ipo morogoro wilaya ya kilombero.dead line 1 december 2014 12.00p.m kama upo tanyari njoo sasa upigwe interview

MIMI NAFUNDISHA CHEMISTRYNA BIOLOGY SAWA NA HITAJI LA HIYO SHULE. NIMEMALIZA SUA MWAKA HUU BSc. EDUCATION YA MASOMO HAYO. NIPO MBALI NAOMBA CONTACT ZA HYO SHULE.
 
Back
Top Bottom