PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,856
Mimi ni mwalimu-mhitimu shahada ya elimu ya awali 2015-2018
Nilifanya field maeneo tofautitofauti,nipo hapa nikiwa serious kukuomba nafasi ya kazi katika idara ya elimu ya awali.Sibagui idara,naweza kufundisha watoto wa chekechea ama walimu wa nursery ngazi ya cheti.Salary expectation iwe kati ya laki 3 na kuendelea kutegemeana na ukubwa wa taasisi.
Kwa mawasiliano zaidi,tuongee kwa 0763269465
Nilifanya field maeneo tofautitofauti,nipo hapa nikiwa serious kukuomba nafasi ya kazi katika idara ya elimu ya awali.Sibagui idara,naweza kufundisha watoto wa chekechea ama walimu wa nursery ngazi ya cheti.Salary expectation iwe kati ya laki 3 na kuendelea kutegemeana na ukubwa wa taasisi.
Kwa mawasiliano zaidi,tuongee kwa 0763269465