Mwalimu wa kiswahili anahitajika

Cas9

Member
Mar 18, 2014
65
17
Habari wakuu!

Namtafuta mtu mweye uwezo wa kufundisha kiswahili kwa watu ambao kiswahili ni lugha ya kigeni.

Muhimu
Awe na ujuzi wa kufundisha
Awe na ujuzi wa kuongea kingereza
Awe na uwezo wa kuongea mbele ya kamera (Asiwe "Camera shy")

*Nicheki PM
 
Habari wakuu!

Namtafuta mtu mweye uwezo wa kufundisha kiswahili kwa watu ambao kiswahili ni lugha ya kigeni.

Muhimu
Awe na ujuzi wa kufundisha
Awe na ujuzi wa kuongea kingereza
Awe na uwezo wa kuongea mbele ya kamera (Asiwe "Camera shy")

*Nicheki PM
Mkuu nipo hapa mwalimu mbobezi kabisa wa lugha ya kiswahili kwa wageni, nimethibitishwa na kutambuliwa rasmi naa baraza la kiswahili Tanzania
Screenshot_20190319-214102.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom