Mwalimu wa Geography na English anahitajika

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
2,133
659
Wapendwa wana JF,kama kuna mwalimu(wa kiume) mwenye angalau Diploma ya Elimu katika masomo ya English na Geography,na kama anahitaji nafasi ya kufundisha ktk shule ya binafsi(inaitwa St.Ritaliza Sec School-ipo Moshi mpakani,ni ya masista wa St.Joseph wa Mombasa) afike shuleni mara moja. Ni shule ya mchanganyiko,ndio ina form 1 wa kwanza mwaka huu.Awe na uzoefu wa angalau mwaka mmoja,kwa maelezo zaidi unaweza kuniuliza hapa,au ukaniPM au nipigie simu 0784369298.
 
Tafadhali,yule aliyenipigia simu kama yupo online aniPM kwa yale anayotaka kufahamu zaidi.
 
Nina Diploma masomo geography na mathematics. Uzoefu wa zaidi ya miaka mitano 5. Naweza pata nafasi?
Wapendwa wana JF,kama kuna mwalimu(wa kiume) mwenye angalau Diploma ya Elimu katika masomo ya English na eography,na kama anahitaji nafasi ya kufundisha ktk shule ya binafsi(inaitwa St.Ritaliza Sec School-ipo Moshi mpakani,ni ya masista wa St.Joseph wa Mombasa) afike shuleni mara moja. Ni shule ya mchanganyiko,ndio ina form 1 wa kwanza mwaka huu.Awe na uzoefu wa angalau mwaka mmoja,kwa maelezo zaidi unaweza kuniuliza hapa,au ukaniPM au nipigie simu 0784369298.
Wapendwa wana JF,kama kuna mwalimu(wa kiume) mwenye angalau Diploma ya Elimu katika masomo ya English na Geography,na kama anahitaji nafasi ya kufundisha ktk shule ya binafsi(inaitwa St.Ritaliza Sec School-ipo Moshi mpakani,ni ya masista wa St.Joseph wa Mombasa) afike shuleni mara moja. Ni shule ya mchanganyiko,ndio ina form 1 wa kwanza mwaka huu.Awe na uzoefu wa angalau mwaka mmoja,kwa maelezo zaidi unaweza kuniuliza hapa,au ukaniPM au nipigie simu 0784369298.
 
Nina Diploma masomo geography na mathematics. Uzoefu wa zaidi ya miaka mitano 5. Naweza pata nafasi?
Wapendwa wana JF,kama kuna mwalimu(wa kiume) mwenye angalau Diploma ya Elimu katika masomo ya English na Geography,na kama anahitaji nafasi ya kufundisha ktk shule ya binafsi(inaitwa St.Ritaliza Sec School-ipo Moshi mpakani,ni ya masista wa St.Joseph wa Mombasa) afike shuleni mara moja. Ni shule ya mchanganyiko,ndio ina form 1 wa kwanza mwaka huu.Awe na uzoefu wa angalau mwaka mmoja,kwa maelezo zaidi unaweza kuniuliza hapa,au ukaniPM au nipigie simu 0784369298.
 
Back
Top Bottom