Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Wapendwa wana JF,kama kuna mwalimu(wa kiume) mwenye angalau Diploma ya Elimu katika masomo ya English na Geography,na kama anahitaji nafasi ya kufundisha ktk shule ya binafsi(inaitwa St.Ritaliza Sec School-ipo Moshi mpakani,ni ya masista wa St.Joseph wa Mombasa) afike shuleni mara moja. Ni shule ya mchanganyiko,ndio ina form 1 wa kwanza mwaka huu.Awe na uzoefu wa angalau mwaka mmoja,kwa maelezo zaidi unaweza kuniuliza hapa,au ukaniPM au nipigie simu 0784369298.