Nimeshindwa kupata connection kati ya professional na kuoa
Sijui kama jamaa anaoa professional au anaona mtu kwa mapenzi yake na upendo wa wake kwa muhusika
Siyo ivyo wanajamii mm nina mchumba ambaye ni nesi ila izi shift zake za night zinaniboa kweli. Na ndo maana nikaomba msaada wenu au ni mtafute teacher
Siyo ivyo wanajamii mm nina mchumba ambaye ni nesi ila izi shift zake za night zinaniboa kweli. Na ndo maana nikaomba msaada wenu au ni mtafute teacher
Hilo ni tatizo, wanaume wengi hawapendi wake zao wafanye kazi za shift ambazo zitasababisha baadhi ya siku wasilale nyumbani. Jaribu kukaa chini na mhusika kulijadili hili kwa kina ili muone mtalitatua vipi.
Ingelikuwa wanaume wote wanakataa manesi kisa shift za usiku ingekuwaje? Acha ubinafsi kaka, hata mwalimu kuna wakati atakwenda kusahihisha mitihani utamkataza kisa baridi ya usiku? Labda kama hujampenda kiukweli unamdanganya tu.