Mwalimu Nyerere alisema maneno haya

Mwalimu Nyerere alisema maneno haya

mzenjiboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
907
Reaction score
387
"Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyaona, wasipoyapata ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM".

Wakati ndio huu kutafuta manadiliko nje ya CCM kwa sababu imeshindwa kuwasilisha vile walivyoahidi wananchi.

Zanzibar tuko ngangari kwa masuali ya kudai Zanzibar yetu. Watanganyika ni WAOGA hamuthubutu kuukataa muungano, Watanganyika ni WAOGA kudai Tanganyika yenu. Nyote mumeufyata baada ya Kikwete kukunyamazisheni pale Dodoma. Mumebaki kuandika kwenye mitandao tu bila ya hata sauti zenu kutoka. Chukueni somo kwa Wazanzibari msiokwisha kuwanughudhi kila siku.

Sisi tunasema Zanzibar Kwanza ama Watanzania mutajijua wenyewe.
 
Mkuu, umesema Zanzibar ipo ngangari kudai mamlaka kamili, sasa hauoni kua kama Zanzibar ikipata mamlaka yake Tanzania ndio itakua Tanganyika au?
 
mmetuchosha na kudai mamlaka kila wakat. Sis watanganyika tunawasaidia sana, mktaka tuwaachie mjiunge na wenzenu muwe mnajilipua lipua tu. Nkt
 
Eti tanganyika....!. Tanganyika ipi mnayoitaka ile iliyoishi miaka mitatu halafu ikatoweka?. Jamani nyie watu mnakula mavi? Yaani kati yetu hakuna aliyezaliwa nje ya muungano eti leo mnataka kuongelea vitu kabla ya muungano nani anayajua maisha kabla ya muungano? Hawa watu waroho wa madaraka nawachukia sana.
 
Kuweni waungwana mkataa kwao ni MTUMWA.
 
"Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyaona, wasipoyapata ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM".

Wakati ndio huu kutafuta manadiliko nje ya CCM kwa sababu imeshindwa kuwasilisha vile walivyoahidi wananchi.

Zanzibar tuko ngangari kwa masuali ya kudai Zanzibar yetu. Watanganyika ni WAOGA hamuthubutu kuukataa muungano, Watanganyika ni WAOGA kudai Tanganyika yenu. Nyote mumeufyata baada ya Kikwete kukunyamazisheni pale Dodoma. Mumebaki kuandika kwenye mitandao tu bila ya hata sauti zenu kutoka. Chukueni somo kwa Wazanzibari msiokwisha kuwanughudhi kila siku.

Sisi tunasema Zanzibar Kwanza ama Watanzania mutajijua wenyewe.
Ni ubaguzi tu ndio unakusumbua mambo ya Tanganyika yanakuhusu nini
 
Eti tanganyika....!. Tanganyika ipi mnayoitaka ile iliyoishi miaka mitatu halafu ikatoweka?. Jamani nyie watu mnakula mavi? Yaani kati yetu hakuna aliyezaliwa nje ya muungano eti leo mnataka kuongelea vitu kabla ya muungano nani anayajua maisha kabla ya muungano? Hawa watu waroho wa madaraka nawachukia sana.

Tuache unafik hpa sio suala la uroho wa madaraka wala kujua maisha kabla ya muungano kwan kuna mtu hajui tanzania imetokana na tanganyika na zanzibar,zanzbar inadai mamlaka yake kamil sasa itakua uendawazimu kuendelea kukataa jina lenu ambalo mliliunganisha na zanzbr kuzaliwa hyo tanzania ya leo kwn wenzetu wanasema zanzbr kwanza hao watanzania watajijua wenyewe
 
Back
Top Bottom