Td mkali
Senior Member
- Jan 18, 2019
- 103
- 104
Niende moja moja mimi natamani kujiendeleza lakini sio katika fani ya ualimu tena naomba mnishauri nisomee fani gani nzuri kwa matokeo haya iv 27 miaka ile history c, math f, civic d, geography d, kiswahili d, english d, biology d, chemistry d nawasilisha
Nb;ni mwajiriwa serikalini matusi sio mazuri
Nb;ni mwajiriwa serikalini matusi sio mazuri