johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,844
- 145,859
Mwalimu Mwakasege amewaasa Watanzania kutumia Hekima Zaidi kwenye kila Jambo Ili kwenda na nyakati za Sasa zenye mabadiliko makubwa
Mwakasege amesema miungu wa Dunia wameshikilia mifumo yote ya Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi na Hakuna dalili za kuchomoka bila ya Msaada wa Mungu wa Mbinguni mwenyewe
Mwalimu Mwakasege anaendesha Semina ya Neno la Mungu Wilayani Kahama mkoani Shinyanga
Source: Upendo TV
Mlale Unono 😀😀
Mwakasege amesema miungu wa Dunia wameshikilia mifumo yote ya Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi na Hakuna dalili za kuchomoka bila ya Msaada wa Mungu wa Mbinguni mwenyewe
Mwalimu Mwakasege anaendesha Semina ya Neno la Mungu Wilayani Kahama mkoani Shinyanga
Source: Upendo TV
Mlale Unono 😀😀