Mwalimu Hamisi ana moyo sana?

Mwalimu Hamisi ana moyo sana?

Na tusiishie hapo tu, yaani kunua baiskeli, tunaweza pia kutuma timu ya waangalizi wa JF ili kuona na kuchambua zaidi nini kifanyike kilicho chini ya uwezo wetu tufanyemaana kutoa ni moyo jamani . Yote yanawezekana kama tutajitolea.... Ahsante

..........................................
Amani yetu inatumiwa vibaya.

Kamuzu kampeni ya kumnunulia baiskeli mwalimu Hamisi imefikia wapi?
 
Tumaini alijitolea lakini hajui itamfikiaje

Ni rahisi sana! Habari ya Mwalimu Hamisi iliandikwa kwenye gazeti la Mwananchi. Kwa hiyo ni kuwasiliana tu na gazeti la Mwananchi na wao watasaidia pia kutoa mawazo yao ya jinsi ya kumfikishia Mwalimu Hamisi baiskeli yake, au la basi kumwambia Mwalimu Hamisi aje ofisi za Mwananchi kuchukua baiskeli yake!
 
Ni rahisi sana! Habari ya Mwalimu Hamisi iliandikwa kwenye gazeti la Mwananchi. Kwa hiyo ni kuwasiliana tu na gazeti la Mwananchi na wao watasaidia pia kutoa mawazo yao ya jinsi ya kumfikishia Mwalimu Hamisi baiskeli yake, au la basi kumwambia Mwalimu Hamisi aje ofisi za Mwananchi kuchukua baiskeli yake!

that is sorted out at least
 
Back
Top Bottom