Mwalimu anatafuta mchumba wakumuoa

Mwalimu anatafuta mchumba wakumuoa

Mp4real

Senior Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
141
Reaction score
149
Salaam,
Hapa ni mwalimu toka arusha natafuta mchumba wa kuoa,

Umri usiozid miaka 26,

Zaidi awe na kaz na heshima!
 
Ticha na kondoo wote unaowachunga!!! hebu maintain mmoja akufae in ze future
 
Jipe teaching allowance, wanaomaliza chukua mmoja weka ndani....
 
Madada wana aleji na walimu wa shule za msingi ila malecture wa vyuo powa tu!!
 
kwani unafundisha BOYS SCHOOL? Kama ni ke school tafuta mchuchu wa kummega.
 
Ticha na kondoo wote unaowachunga!!! hebu maintain mmoja akufae in ze future

Mnampa ushauri mbaya sana hapa, mwl hatakiwi kujihusisha na mambo kama hayo na mwanafunzi wake tena mwenzenu ameshasema huyo mwanamke anatakiwa awe na kazi sasa mwanafunzi anayemaliza ana kazi?
 
Mbona Upo Kwenye Kiwanda Cha Kuzalisha Hvo Vitu Unavyohitaji
 
hizo fulza kazn kwako mbona nying tuu maeneo hayo
hebu kamata kakondoo kamoja ukafaulishe
 
Watu jamani. Ticha anataka mwenzi nyie mnareta matani. Kumega madent co poa je akiwa mdogo ako ndo anagegedwa na ticha we utafurahi?
 
Atakuwa ndo wale wanaopumuliwa kisogoni

Daudi1 huyu jamaa Albosignathus mnamshambulia bure!
Peruzini tena headin ya mleta mada .......... "mwalimu anatafuta mchumba wa kumuoa" !
Instead of "mchumba wa kuoa!"
That's y jamaa linataka kumchumbia Ticha.
 
Last edited by a moderator:
Ushauri mwingine sio mzuri kabisa. Jaribu kufikiri wewe ni Baba au Mama na una mtoto yuko shule na mwalimu wake anatembea nae, je utafurahia hiyo hali? Kwa maana hiyo Je hutajali matokeo ya kitendo hicho kama vile kuwa na matokeo mabaya ya mitihani, mimba, na mengineyo?
 
Back
Top Bottom