Mwalimu anahitajika Bukoba-Kagera

Mwalimu anahitajika Bukoba-Kagera

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,588
Reaction score
1,858
Hi guys.

Kuna nafasi moja ya internship kwenye organization inayodeal na elimu mkoani Kagera.
Sifa
1.awe mwalimu wa kike
2. Awe mkazi wa mkoa wa Kagera especially wilaya za Bukoba,Mleba,Karagwe.
3.Awe amehitimu chuo mwaka huu 2025
4.Mwenye shahada ya Elimu.

Posho nzuri ipo.

Karibu DM
 
Ulipotaja wa kike tu tear umeshahalibu, ungeweka wazi tu lengo la tangazo lako!.
 
Back
Top Bottom