Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Naona Dunia imegeuka sasa ni zamu ya waalimu kutembea na Wanafunzi na nadhani hata humu mmo



 
HAPO CHILD Act HAIMUACHI HUYO MWALIMU
 
haiumizi sana hiyo angekuwa mtoto wa kike kweli...afu istoshe mwalimu basi hapo hakuna tatizo safi kabisa
 
Nae mwalimu awajibishwe kama wanavyo wajibishwa wanaume
 
Huyu mwalimu kifungo cha maisha au miaka 30 inamuhusu.
 
Kimaadili hili ni jambo la ajabu mno.. Ipa kwa kuwa maadili yameporomoka hamna jinsi... Yani hapo sifa ya ualimu haipo kabisaaa

ila utandawaz ndo umeharibu bhana ukizingatia mtoto wa kike katoka chuo tu.........
 
Mwalimu wa kiume akimzalisha mwanafunzi wa kike eti AMEBAKA,lakini mwalimu wa kike akizalishwa na mwanafunzi eti ni BAHATI!

Hizi sheria zetu tunaomba zifanye kazi sawa,kama tumependekeza 50/50 iwe ya kweli!Isiwe tu kutafutia kura za wanawake kwenye chaguzi zijazo!
 
Mwalimu apigwe 30 kwani simlisema ni haki sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…