mwalim wa Kifaransa.

Rwaz

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,278
Reaction score
4,106
nahitaji mwalim wa kunifundisha lugha ya Kifaransa muda wa jion kwa aliyeko Dar es Salaam. awe na programme ya mi kuelewa haraka, kusoma/kuandika na kuongea. Najua Kiingereza vizuri cha kusomea.
 
Kwa kukushauri tu, nenda pale Alliance Française. Utaweza kujifunza na kuelewa kwa haraka kama uko serious. Mie sijasoma hapo lakini kuna jamaa yangu ambae alisoma pale na kwa sasa anaongea vizuri. Ila kama ndo unaanza kabisa, ndani ya miezi sita utakuwa unaongea vizuri ila kama unafanya mazoezi.

Je te souhaite une bonne chance.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…