Hata km yeye ni TISS lakini walipaswa Ofisi ya Tiss ndo wagundue hizo habar, ila wao hawana kazi siku hiz Nchi imeoza kwa unga,wahamiaji, na matukio ya vioja.
Zaman walipokuwa wanasema Nyerere anamasikio hata ukitaja jina lake kibandani kwako anajua maana yake Tiss ilikuwa inafanyakazi vizuri
lakini pia inawezekana hao ndio wanaompa taarifa hizo nae anazifanyia kazi!
Wana JF,
Waziri wa uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe anafanya kazi za usalama wa taifa sasa hivi.
Ni Mwakyembe anayepambana na genge la wauza unga. Mwakyembe anapambana na wahamiaji haramu pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere.
Sasa hivi Mwakyembe huyo huyo ameanzq kupambana na wezi wa mafuta ya serikali bandarini. Wezi hao wameunganisha mabomba kwenye matenki ya tipper na wanachukua mafuta watakavyo. Inashangaza kuona watu wa usalama wa taifa na polisi wapo na hayo yote bado yanatendeka.
Swali linalokuja hapa ni, usalama wa taifa wameshindwa kutimiza wajibu wao au Mwakyembe amewazidi ujanja kwenye kugundua na kufuatilia mambo?
Ni aibu kwa serikali yetu na vikosi vya usalqmq kushindwa kushughulikia mambo yenye athari kwa taifa, badala yake waziri wa uchukuzi ndio anafanya kazi za usalama.
Hata km yeye ni TISS lakini walipaswa Ofisi ya Tiss ndo wagundue hizo habar, ila wao hawana kazi siku hiz Nchi imeoza kwa unga,wahamiaji, na matukio ya vioja.
Zaman walipokuwa wanasema Nyerere anamasikio hata ukitaja jina lake kibandani kwako anajua maana yake Tiss ilikuwa inafanyakazi vizuri
kuna cha ajabu kwa serikali kushindwa, refer EPA, madawa ya kulevya na mengine unayoajua!Swali linalokuja hapa ni, usalama wa taifa wameshindwa kutimiza wajibu wao au Mwakyembe amewazidi ujanja kwenye kugundua na kufuatilia mambo?
Ni aibu kwa serikali yetu na vikosi vya usalqmq kushindwa kushughulikia mambo yenye athari kwa taifa, badala yake waziri wa uchukuzi ndio anafanya kazi za usalama.
Wana JF,
Waziri wa uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe anafanya kazi za usalama wa taifa sasa hivi.
Ni Mwakyembe anayepambana na genge la wauza unga. Mwakyembe anapambana na wahamiaji haramu pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere.
Sasa hivi Mwakyembe huyo huyo ameanzq kupambana na wezi wa mafuta ya serikali bandarini. Wezi hao wameunganisha mabomba kwenye matenki ya tipper na wanachukua mafuta watakavyo. Inashangaza kuona watu wa usalama wa taifa na polisi wapo na hayo yote bado yanatendeka.
Swali linalokuja hapa ni, usalama wa taifa wameshindwa kutimiza wajibu wao au Mwakyembe amewazidi ujanja kwenye kugundua na kufuatilia mambo?
Ni aibu kwa serikali yetu na vikosi vya usalqmq kushindwa kushughulikia mambo yenye athari kwa taifa, badala yake waziri wa uchukuzi ndio anafanya kazi za usalama.
Usalama wapo kwa ajili ya kumlinda Rais na usalama wa taifa hayo mambo ya wezi sio wao watafute polisi ndio kazi yao
Fikiria, upanga wa dhahabu umeibiwa ofisini kwa IGP... Ofisini. Ofisi kubwa kama hiyo inaibiwa kitu chenye thamani kubwa kama hiyo, usalama wa taifa wako wapi?
Usalama wapo kwa ajili ya kumlinda Rais na usalama wa taifa hayo mambo ya wezi sio wao watafute polisi ndio kazi yao
Mwakyembe anafanyia kazi taarifa anazopata na TISS.