Mwakyembe 'murder' plot under investigation

RIPOTI YA UCHUNGUZI BINAFSI JUU YA UGONJWA WA DR HARISON MWAKYEMBE 12/10/ 2011

JASON BOURNE
TEL:*********
ID************

Hatua ya kwanza:
Niliamua kujua kama ni kweli kalishwa sumu au laa. Na watu nilio wahusisha katika kujua huko ni TISS.

Katika uchunguzi niliweza kuzungumza na LTK wapatao kumi na tano.
1. Maboharia wawili
2. Wapanga mikakati wawili
3. Mkuu wa LTK
4. Vijana wa kazi kumi
Wote maelezo yao yalifanana kwa maana ya (walishiriki kupanga na kutekeleza kumlisha sumu Dr Harison Mwakyembe)

Hatua walizopitia:

Kwa mujibu wa maelezo ya LTK/D00/B1 mkuu wa kitengo hicho ambae kwa kweli niliongea nae kama rafiki yangu wa karibu ndie aliyenipa mwangaza wakufanikisha kazi yangu.

Katika misheni hii watu wengi wanatakiwa KUFA, nitawataja wale muhimu tu:
1. Wilblod Slaa
2. Samweli Sitta
3. Harison Mwakyembe
4. Said Kubenea
5. Mark Mwandosya

Mnamo ijumaa ya tarehe 01/10/2010 saa 4:25, kikao kikuu cha mikakati kilikalika Moven Pick kikihudhuriwa na watu sita,
1. TISS/A001 XXX
2. TISS/B1
3. TISSB32
4. TISS/B5
5. TISS/A6
6. TISS/F5

Baada ya mjadala wa saa moja uliogusa magumu inayokumbana serikali na watu walio waona wao ni vikwazo na waliosababisha magumu hayo, ndipo wakaibuka na listi ya wanaotakiwa kusalimisha uhai wao:

Bada ya hapo kesho yake TISS/B1 alikutana na LTK/D00/B1 na kumpa amri ya misheni hiyo na orodha kamili ya watuhumiwa bila kumwambia sababu za mauaji hayo, zaidi alisema “nahitaji ripoti ya utekelezaji”.



Baada ya amri kuwa chini ya LTK, mikakati ya aina ya kifo kwa kila mtuhumiwa ilipangwa ambapo walipamgwa katika makundi matatu,

1 Samweli Sitta
2 Harison Mwakyembe
3 Mark Mwandosya
Hawa wamepangiwa vifo vya aina mbili kwanza ajali na ikishindikana watalishwa sumu.

1 Said Kubenea

Kumwagiwa tindikali, baada ya kufeli ile ya kwanza imeagizwa nyingine toka Bulgaria yenye kuua baada ya masaa kumi na mbili tu!

1.Wilblod Slaa

Huyu anatakiwa kufa kwa shabaha ya risasi (snipers) ndio wanao andaliwa tu kwa sasa.

Waliopewa kipaumbele kufa ni Samweli Sita, Mark Mwandosya na Harison Mwakyembe ambapo LTK/D00/B10, LTK/D00/B14, LTK/D00/B17 na LTK/D00/B21 walipewa kazi hiyo.

Kikwazo kikuu walichokumbana nacho vijana wa kazi, ni kuwa, Sita, Mwandosya na Mwakyembe wote ni majasusi na kwapamoja walifanikiwa kufumbua njama hizo chafu za mauaji kwa siri.

Mitego ya ajari 16 kwa Mwakyembe yote imemkosa, 12 kwa Sita nayo ikamkosa,7 kwa Mwandosya nae kakoswa.

Walipoona mbinu zote za vifo vya ajali zimefeli wakahamia kwenye aina ya pili ya vifo vya kulishwa sumu:


Katika aina hii ya mauaji kwa muujibu wa vijana wa kazi wanashangaa uimara wa Samweli Sita na Mwakyembe kwani wameshalishwa aina nyingi za sumu lakini bado wanadunda tu, kwanza sumu ya kwanza kuwalisha ni katika kikao cha kwanza cha bunge mwa 2011, hawakupata madhara yoyote.


Wakabadilishiwa aina ya sumu, hakika hii ilimpata zaidi Mwandosya kwani ilipandikizwa katka simu yake ya mkononi bila yeye kujua saa 4:40 asubuhi ofisini kwake tarehe 7/3/2011.

Aina hii ya sumu (jina sikupata kujua lakini hapa huitwa LTK/XXX) nayo ilishindwa kuzaa matunda kwa Mwakyembe na Sita licha ya kupewa katika mazingira tofauti,hii ilitokana na kuwa kidogo.



Zoezi hili zito na la hatari baada ya kuwa gumu kupita kiwango kwakuwa hata Mwandosya hakudhurika sana, ilibidi uhitajike msaada toka nje ya nchi na ndipo jasusi mashuhuri wa kitanzania Exaveri H.Limo akaenda Urusi kutafuta aina nyingine ya sumu kali.

Tarehe 11/7/2011 akafanikiwa kukutana na Zudrav Ghev mmoja wa wakemia wa KGB katka kituo cha Moscow akapata Polonium 236, kutokana na unyeti na hatari ya sumu hiyo ilimlazimu bwana Zudrav Ghev kuchukua ndege ya watu wa tano na kuruka mpaka tz .

Baada ya kufika tz bwana Zudrav alitoa mafunzo ya wiki moja jinzi ya kuhifadhi na kutumia kisha akatokomea kurudi kwao na vijana wake wanne.


Baada ya Mrusi kuondoka misheni zikaendelea na mnamo tarehe 24 /7/ 2011 wakati afya ya Mwandosya ikiendelea kuzorota mmoja wa LTK/D00/B10 wa kike alifanikiwa kumuwekea Polonium 236 katika chai nyumbani kwake akiwa ni miongoni mwa watu waliokwenda kumjulia hali,

Na Mwakyembe alikuja kuwekewa ktk maji ya kunywa na kwenye kitambaa cha kufutia uso LTK/D00/B17 siku ya uzinduzi wa kikao cha Makandarasi,Wahandisi na Wakadiriaji majenzi pale Mlimani City kilichohudhuriwa na rais.

Kuonyesha kuwa Mwakyembe ni jasusi aliye kubuhu siku hiyo maji hakuyanywa wala kugusa kabisa lakini mungu si athumani kitambaa akakitumia, jambo la kushangaza nikuwa baada ya kama dakika 20 kukitumia kile kitambaa alikitupa wakati anatoka eneo la Mlimani City.

Hivi sasa LTK wameshamaliza kazi yao kwa watu wawili na anayefuata ni Samweli Sita
Na uwezekano wa kupona kwa India ni mdogo ila wanaweza kupunguza makali na kusogeza mbeli mauti yao hiyo ni kwa mujibu wa mkuu wa LTK.

Slaa maandalizi yake yanaangalia zaidi uchaguzi ujao ingawa kumeingia aina ya mabishano makali juu ya kumuua hasa wakihofia kutokea kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe kwakuwa jamii ya kitanzania na kimatafa inamtambua.


Said Kubenea amekabidhiwa LTK/D00/B21 ambae anasubiri kitendea kazi toka Bulgaria ambapo jasusi Yugrov Dittzov ndie atakae ileta.





Huu ndio uchunguzi wangu binafsi baada ya kupata taarifa juu ya hali ya Dr Harison Mwakyembe kuwa ni tete.

Nasema kuwa serikali ya Tanzania inafanya mauaji ya rai wake hasa viongozi wenye mtazamo tofauti na serikali.

Naiomba serikali ya Mh rais isikilize kilio cha watanzania isisikilize kilio cha wa kwasi na mafisadi.

Nina waomba watanzania tuungane pamoja bila kujali dini zetu,makabila yetu wala rangi zetu kulikataa kundi hili la wahalifu lisilozidi watu 30.




Huu ni uchunguzi wangu, unahaki ya kusubiri uchungu wa madaktari wa India

ASANTENI SANA:
JASON BOURNE
Hili ni Tangazo la vita. tujiandae> Bomu linatik!tik!tik!tik!
Nguvu ya umma: tayari tayari. Wakifa hao JWTZ yote ikamlinde JK popote!!
 
[h=2]90 % ya viongozi wetu wenaugua magonjwa sugu , wanashindwa kufanya maamuzi[/h]
Mapema mwaka huu viongozi wetu wa juu wakiwemo wabunge,mawaziri, majaji , wakuu wa mikoa, watendaji wakuu wa serikali walimiminika loliondo wakitaka kutibiwa magonjwa sugu ukiwemo ukimwi.mch ambilikile mwasapila (babu) aliwalaghai vigogo wa serikali na serikali yote kuamua kuelekea huko.
Magonjwa sugu yaliyotajwa ni:
1.ukimwi
2.kisukali
3.pressure
4.
5.
Taarifa za daktari zinaonyesha kuwa watu wenye magonjwa sugu huwa wanhasira kali na kushinda kufanya maamuzi magumu na kukosa mipango endelevu. Wanauza mali hovyo na kutapanya rasilimali

pamoja na kwamba dawa ya babu haitibu ukimwi lakini amefanikiwa kutupatia takwimu za ukweli kuhusu mtandao wa magonjwa sugu kwa viongozi wetu ambapo wametumia ndege kwenda loliondo na magari ya serikali.
Ni dhahili kuwa viongozi wetu wanao tuongoza ni wagonjwa wa magonjwa sugu kiasi cha kushindwa kufanya maamuzi mazito na mipango ya maendeleo y mda mrefu.

Viongozi wetu wanahofu ya kufa kutokana na magonjwa yao na ndio maana wanauza madini, wanauza ardhi, wanauza wanyama hai mapema ili kukusanya pesa mapema.
Wengi tunajua mtu akiwa na hofu ya kufa kutokana na ukimwi huwa anauza mali hovyo hovyo na maamuzi yake siyo mazuri.

Mfano mzuri ni maamuzi ya kulipa dowans , jambo ambalo ni dhahili kwamba wanaofanya hivyo hawana mipango mirefu ya maisha katika taifa hili.
Viongozi wa ccm wanakata kuachia madaraka kwa watu wengine wakihofia hatima yao baada ya kuuza nchi na wanyama nje ya nchi. Wametapanya mali hovyo kwasababu hawana mawazo mazuri, wanang'ang'ia madaraka na kutaka watoto wao walithishwe urais , ubunge, na uwaziri ili kulinda uhalifu waliofanya.wanahaha kuiba kura ili waonekane wanapendwa na wananchi.


Mgogoro uliotokea libya ni sawa na mgogoro utao tokea tanzania 2015.
Huko libya gadafi alitaka kuachia madaraka mikononi mwa watoto wake ambao nao wamejilimbikizia mali lakini raia wema wakamuonya lakini hakusikia.


Hapa tanzania kuna juhudi kubwa za watawala wetu kutaka kurithisha madaraka kwa watoto wao ambao wamejirimbikizia mali katika vituo vya mafuta, migodi , maliasili, wameuza ardhi na sasa wanahaha kuiba kura.!!!!

Kuna harakati kubwa kwa watu ambao wametuhujumu , wametuibia , wametunyonya na sasa haohao ndio wameunda mitandao ya urais 2015. Wanatumia fedha walizotuibia kutuhonga ili tuwape kura. Wanatumia pesa hizo kuwahonga wachungaji, wamewanunua wachungaji na kufanya kampeni makanisani.


Watu hawa wakiugua tu utasikia walalahoi wanalalamika na kupiga kelele kuwa wamepewa sumu lakini safari ya loliondo walikwenda bila mtu kulalamika.wanasafiri kwenda india kutibiwa baada ya loliondi kupoteza umarufu lakini wanapo ondoka hawasemi wanaumwa nini !!!!!! Mauaji ya albino yanaongezeka ushirikina huku serikali ikiongeza kasi ya kutoa vibali kwa waganga .waliopo kwenda loliondo hawakusema wanaumwa nini!!! Lakini safari ya india ina maneno mengi


ni bora mbunge ,waziri, vigogo wanapougua waangalie ukweli wa afya yake sio kusingizia sumu .

Pia hapa kuna ubaguzi mpiga kura akiugua anafia nyumbani bila kufika hata dispensary, na hata akienda huko anakosa dawa.

Wajawazito wametengewa bajaji ambazo bado zinasuasua.

Waziri akiugua anakimbizwa haraka kwenda india na anagharimiwa fedha nyingi inayo weza kutibua zaidi ya walalahoi 100 hapa!!!

Wakati wa kupiga kura wabunge wanapiga magoti kuomba kura, wakimunyima anachakachua!!! Je, ni haki????​
 
Tumefika pabaya! Kama hii mipango inafanywa na watanzania dhidi ya watanzania wenzao, sura ya nchi imeshaharibika. Naogopa kusema nini kitafuatia.

Usiogope sana kuna mambo yatatokea yakuwashangaza hawa waovu nao watabaki wakijiuliza ilikuaje hata tukakosea hapa hadi kujiangamiza wenyewe? Mwamini Mungu binadamu ni nani hata akutishe? Huyo hana uhakika hata na sekunde inayofuata kwani kwakupaliwa tu na mate aweza salimisha roho yake kwake aliyemwazima kwa muda tu. Herode baada ya kuua manabii wengi akajiambia mwenyewe sasa yeye amekuwa sawa na Mungu na akajiandalia karamu kubwa yakujitukuza, haikupita siku mnyoo tuu ukamwondoa! Usicheze na kitu kinachoitwa uhai wa mwanadamu damu yake haifi hata siku moja na inadai milele!
 
CCM leaders are infamously known for their Kremlin-like tactics of liquidating people who appear to pose a threat on their 'interests'. It has done so to the late Horace Kolimba and same thing later happened to Chacha Wangwe and now they've vainly attempted to eliminate Mwakyembe, thanks God that Pollonium used is said to have already been expired.

Even so, why did they have to wait this long before considering an inquiry? It entirely sounds derisory and, to me, this investigation is a mere artifice just designed to expiate themselves from their spiteful ways.

Isn't it the case for Malima and Kombe also? or names without certain privileges are worth not mentioning?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sasa tumefika pabaya tunaanza kuamini kulogana mbona hali imekuwa namna hii wachawi wanapewa
nafasi ya kuwajadili kwa hiyo basi wagonjwa wote waliolazwa wamepewa sumu na kulogwa ???? yuko
wapi huyu mganga nimpe kazi anilogee kakobe na mama lukatare ukiona mtu anawaamini wachawi ujue
na ni mchawi mkubwa
 
THE Police force is still investigating the alleged plot to murder the Deputy Minister for Works, Dr Harrison Mwakyembe.

View attachment 40160

On Thursday, the Deputy Director of Criminal Investigation said in Dar es Salaam that covert and overt evidences were now being collected from various individuals and mediums.

''We are still gathering evidence and we are also awaiting medical reports to ascertain whether he was poisoned before we respond accordingly,'' he said.

Dr Mwakyembe was flown to India early this month after suffering from a mysterious skin disease suspected to have emanate from noxious infections.

The Deputy Minister was reported to be suffering from a skin disease scientifically known as Exfoliative Dermatitis the cause of which was yet to be established.

Police comments came to light after Mr Mwakyembe claimed in February over the possible plot to kill him and other high profile leaders and some renowned businessmen.

Dr Mwakyembe had complained that there were plans to kill him, famous businessman, Mr Reginald Mengi and the Minister for Water and Irrigation, Prof Mark Mwandosya.

Others he had named include the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Mr Bernard Membe and the Same East Legislator, Ms Anne Malechela.

Mr Kasala was responding on the questions put forth by journalists to the Inspector General of Police (IGP) Said Mwema on Wednesday and promised to provide answers for the question yesterday through his officers.

''We call on the members of the public with evidence that can help police to get proof of these allegations to present them to us and we will treat them with confidentiality,'' he said.

In another development, police have vowed not to bow to a six months ultimatum given by a sect of opposition leaders asking the law enforcer to stop what they have termed as oppression against opposition politicians.

''We are guided by rules and regulations and we will not stop doing our work because of politicians' pressures.

''In fact we are not even giving heed to their ultimatums,'' Mr Kasala injected.

Source: DailyNews,Tanzania.


Kwanza nauombea apate uzima na kurudi nyumbani kwa ndugu na familia ,binadamu misukosuko katika maisha ndiyo tumeumbiwa nayo kwahiyo si vizuri kumfurahia mmoja wetu anapopatwa na misukosuko kama yake .lakini basi hapa leo nitapenda kukumbusha nini niliwahi kusema pale mara alipopata ajali na yeye akaeleza binafsi nini kilikuwa na polisi wao wakaja na mengine kwa kifupi nilisema kuwa wabaya wake wamefanya makosa katika mtego huu ameponea chupu chupu kuaga dunia lakini nikasema kuwa wabaya hao hao hawatafanya makosa kama hayo kwa mara ya pili wata hakikisha wamekamilisha dhamira yao juu yake na leo ndio tunashuhudia ,pole Mungu atakusaidia .
 
Isn't it the case for Malima and Kombe also? or names without certain privileges are worth not mentioning?

At least u guys are now coming back to ur senses! Lichama limezeeka hili tutazame jinsi ya kujenga vyama vitakavyoendana na matakwa yetu ya sasa. Waanzilishi na members wake wote wako off the time tuungane kuwaondoa hawa ila tuwahakikishie usalama wa maisha yao kwakuwaandalia certain future; They where gud to us lakini sasa wamezeeka pamoja na ideologies zao.
 
Tatizo hata polisi wetu wako chini ya chama, huo uchunguzi hauwezi kuwekwa wazi hata siku moja labda kama waliofanya hayo mambo ni chadema
 
Back
Top Bottom