Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
tunakushukuru sana kwa taarifa yako na Mungu akulinde sana .Hivi karibuni mamlaka ya bandari ilitangaza ajira za nafasi za juu na watu waliomba. Ilikubaliwa kuipa kampuni reputable kufanya usaili but Mwakyembe aliamua kulazimisha ipigwe juu juu kuwapa ulaji watu awatakao. Leo baada ya kuishinikiza bodi aliyoipunguza kutoka 9 hadi 6 kukutana Mtwara na kutoa ajira hizo bila usaili kwa watu awatakao akiwamo Magesa ambaye wako nae ktk dili la Electronic Cargo Tracking Note e-CTN ambayo hadi sasa ni utata mtupu. Pia wamo walioitwa kutoka Tanroads waliokua washkaji wao yeye na Kipande.
Huyu ndiye aliyekua mpambanaji wa ufisadi now amegeuka.