Prof.Leonard yupo.
ila anafundisha kilimo cha ndizi badala ya kumwaga Sera watu hawataki kulima wanataka kuambiwa wataletewa Barbara ya UMEME hahahaaaa
Mwakyembe tangu akane maandiko yake mwenyewe kuhusu muungano kwenye bunge la katiba nimemtoa kwenye kundi la watu makini, halafu ana kashfa ya mabehewa... Apigwe tu manake hamna namna ingine