Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Inavoonekana waziri wa michezo hapa nchini, mheshimiwa Mwakyembe, analazimisha kupunguza wachezaji wa nchi za nje kwenye timu zetu, sawa ila mie nadhani angeanza na makocha toka nje kwanza kuona ubora wao kama wanafaa kwenye timu zetu.
Ubora wa kocha ndo ubora wa wachezaji.
Ubora wa kocha ndo ubora wa wachezaji.