MWAKYEMBE ANATAKA CCM ISHINDE URAIS WA TLS

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Bw.Mwakyembe amekuwa anatumia vibaya madaraka yakevkama Waziri wa Sheria kuleta siasa kwenye chombo muhimu cha TLS.Bw.Mwakyembe amekuwa anahaha kuhakikisha CCM inashinda Urais wa Chombo hicho kwani amekuwa Na figisufigisu sana.Msomi ka Mwakyembe kuufanya uchaguzi wa TLS kama uchaguzi wa Ubunge Na kutaka mgombea wa CCM ashinde kunanifanya nimshangae Waziri huyu.Wajumbe wa TLS mkiwa wasomi okoeni chombo chenu Kwa kuwapata viongozi imara.Mwakyembe anataka kuwaingizia UCCM kwenye chombo chenu.
 
Bw.Mwakyembe amekuwa anatumia vibaya madaraka yakevkama Waziri wa Sheria kuleta siasa kwenye chombo muhimu cha TLS.Bw.Mwakyembe amekuwa anahaha kuhakikisha CCM inashinda Urais wa Chombo hicho kwani amekuwa Na figisufigisu sana.Msomi ka Mwakyembe kuufanya uchaguzi wa TLS kama uchaguzi wa Ubunge Na kutaka mgombea wa CCM ashinde kunanifanya nimshangae Waziri huyu.Wajumbe wa TLS mkiwa wasomi okoeni chombo chenu Kwa kuwapata viongozi imara.Mwakyembe anataka kuwaingizia UCCM kwenye chombo chenu.
Ndio maana kipindi kile walilimwagia polonium likawa kama mkaa
 
Anataka yule jamaa aliyegombea urais kupitia ccm ndio apite, yaaani ni balaaa. Lakini nashukuru hizi mbwembwe za ccm ndio zinaamsha hisia za jamii kulijua zimwi ccm
 
Back
Top Bottom