Mwakyembe amehamishwa yeye na Treni yake

Mwakyembe amehamishwa yeye na Treni yake

wenye kuitakia mema nchi hii ni wale walioleta Ikarus miaka ya 70 ili kunusuru msongamano wa magari Dar, nawashangaa hawa waleo waliwezaje kufikiria kuleta Haice mjini?
 
Kama ndivyo ilivyo, basi kuna ukosefu wa uwajibikaji wa pamoja.

Watendaji wanajenga majina yao kwa maslahi yao kisiasa badala ya kuwajibika kitaasisi.
 
Kwa swala la gari moshi wala simlaumu Sita, mana lile dude lilikuwa linaingiza hasara ilikuwa nusu ya watu wanapanda bure na nusu walipao hela zinaishia mifukoni kwa watu
 
Sitta ni sheeeda lina roho mbaya kama kima


Sitta ni mtu mbaya sana kwa hatma ya nchi yetu; hivi sasa yuko busy kublack mail viongozi wa dini ambao walipinga katiba walioandika na Chenge kwa kutumia mbinu chafu za kuwazushia uongo ili wavunjiwe heshima na jamii!! Ameweza kutengeneza videos kwa kutumia photoshop zinazowaonesha viongozi wa dini wakifanya ngono na wengine kuwasingizia kuwa ni wazinzi wamezaa na waumini wao!! Yeye mwenyewe anajifanya mcha mungu ili hali ana vimada kila kona hapa Dar es Salaam ambao amewazalisha na anawatunza!! Jamii inapaswa kumuogapa Sitta zaidi ya UKOMA!!
 
Nimecheka kwa sababu nimekumbuka kisa cha huyu mwekezaji wa treni za airport to town. Hii inanikumbusha pita michoro ya flyovers za Tazara, Morocco na Ubungo. Hatujambo kwa picha.

Mkuu hii nchi haijambo kwa "upembuzi yakinifu" au utasikia "mipango endelevu"

Kwenye output TZ ni ziro!Sisi tunachojua ni makelele tu
 
Kwa swala la gari moshi wala simlaumu Sita, mana lile dude lilikuwa linaingiza hasara ilikuwa nusu ya watu wanapanda bure na nusu walipao hela zinaishia mifukoni kwa watu

kwanini asilaumie; wakati yeye ndo anauwezo wa kubadili management au kumpa mwekezaji ; yeye akawa anapata chake km serikali.
inaonyesha ataki kushauliwa ; km hilo ndo tatizo
 
Hivi ndugu zangu hii nchi mbona tunaendeshwa kimaigizo sana kuna Treni fulani hivi ilikuwa na mabehewa ya zamani ilirekebishwa na mwakiembe na ikapewa jina la Treni ya mwakiembe hivi iko wapi?? Kwa sasa
 
Hii nchi tukisema ccm na serikali yake wamechoka wanadhani tunawaonea, hiyo train ina zaidi ya miezi mitatu sasa haifanyi kazi. Locomotive zimekufa, ubabaishaji wa serikali ya ccm ni mwingi mno kupita maelezo.
 
Ngoja tumkabidhi nchi MABADILIKO waone namna nchi inavyo takiwa kuendeshwa.
 
Ni kweli baada ya press ya Slaa....mkienda kwenye mikutano baadala ya wapigakura kusema "Pipoooz pawaaaa" imekuwa "Popoooo, ubawaaaaa"
 
Back
Top Bottom