Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wabongo watu wa "Hewallah bwana", ukute hili tatizo limeanza siku nyingi safari zinakwua hazina mpangilio safari ya kuondoka leo inaondoka kesho matokeo yake Treni siku moja zitagongana halafu watu watashangaa. Sababu hao jamaa wa TAZARA sidhani kama wana mawasiliano mazuri na vituo vyote, plus wafanyakazi inaonesha hawana moyo kabisa.