taylor9119
JF-Expert Member
- Nov 4, 2012
- 301
- 478
Mchoma chipsi wa viunga vya Buenos Ares, Argentina.!
🤣🤣Mchoma chipsi wa viunga vya Buenos Ares, Argentina.!
Afadhari umekuja piaMbona refa Kama kamaliza pambano kimagumashi?
Mwakinyo kafanya kazi tayariTunajigawa vipi huku Mwakinyo huku Stars ishaanza
Mwakinyo kafanya kazi tayariTunajigawa vipi huku Mwakinyo huku Stars ishaanza
Kwanini hutaki apigane na kiduku? Mbona namuona kiduku yupo vizuri sanaMwakinyo kafanya kazi tayari
Ndio maana huyu jamaa sitaki apigane na Kiduku
Kwa style ya Kiduku, simwoni Mwakinyo akimpiga ni lazima itampa tabuMwakinyo kafanya kazi tayari
Ndio maana huyu jamaa sitaki apigane na Kiduku
Rekodi ya Mwakinyo ni kubwa kuliko Kiduku, so ikitoa akapigwa itakuwa aibu kwake bora akapigane na watu wanaofanana rekodiKwanini hutaki apigane na kiduku? Mbona namuona kiduku yupo vizuri sana
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa, Kama Mwakinyo alivyompiga yule mzungu kule kwao ikamuongezea ubora na record nzuri.Rekodi ya Mwakinyo ni kubwa kuliko Kiduku, so ikitoa akapigwa itakuwa aibu kwake bora akapigane na watu wanaofanana rekodi
Huyu refa katoka WBF angekuwa mbongo ningechangia madaMwakinyo kashinda kwa TKO, japokuwa naona kama refa kawahi angempa mudamuargentina wa kujitetea
Kiduku ana rekodi nzuri kuliko hawa walevi anaopigana nao MwakinyoRekodi ya Mwakinyo ni kubwa kuliko Kiduku, so ikitoa akapigwa itakuwa aibu kwake bora akapigane na watu wanaofanana rekodi
Yes, ila hata angeacha waendelee muargentina alikuwa kashakubaliHuyu refa katoka WBF angekuwa mbongo ningechangia mada
Angalia rekodi ya hao unaowaita walevi aisee, hawa jamaa ni wakali ila mbele ya mtu mweusi wanashindwa kutambaKiduku ana rekodi nzuri kuliko hawa walevi anaopigana nao Mwakinyo