Mwaka wa 5 mtaani bila kazi

Mwaka wa 5 mtaani bila kazi

Habarini wanajamvi, Mimi ni msichana natafuta kazi ambayo ni halali itakayoniingizia kipato, Nina degree ya procurement and logistics management.. Kwa mwenye kuweza kunisaidia au anaitaji maelezo zaidi naomba anicheck pm.
Natanguliza Shukrani.
Mimi zamani nilikuwa km ww ila saa hizi sio aibu wala haya.... Ningekuwa sina ajira ningejitahid nipate msingi niuze hata mandazi
 
Jiongeleshe hapa! Chezea shida hainaga bounsa..! Kajifikirishe upate cha kufanya na kazi ya kutoa ngono kamwe hautakuja kufanikiwa laana tupu..!
Una maneno makali lakini ni ukweli mtupu
 
Omba Mungu na jitahidi kufanya toba sometime ufahamu na nyota zetu zinafungiwa na madhambi. Unaweza kudhani umeumbiwa mateso ujue makusudi ya Mungu bado ni yaleyale na Mungu kamwe hatuwazii mabaya! Nikutie moyo kwanza hondoa aibu fanya kazi yeyote sasa hivi unajiona kuwa huwezi kufanya kazi fulani sababu umesoma ila ujue sometime hiyo ndiyo njia yako.

Pole sana jitahidi yatakwisha tu hayo..!
 
Omba Mungu na jitahidi kufanya toba sometime ufahamu na nyota zetu zinafungiwa na madhambi. Unaweza kudhani umeumbiwa mateso ujue makusudi ya Mungu bado ni yaleyale na Mungu kamwe hatuwazii mabaya! Nikutie moyo kwanza hondoa aibu fanya kazi yeyote sasa hivi unajiona kuwa huwezi kufanya kazi fulani sababu umesoma ila ujue sometime hiyo ndiyo njia yako.

Pole sana jitahidi yatakwisha tu hayo..!
Asante sana kwa ushauri mzuri, na kunitia moyo Mkuu. Ubarikiwe sana
 
Omba Mungu na jitahidi kufanya toba sometime ufahamu na nyota zetu zinafungiwa na madhambi. Unaweza kudhani umeumbiwa mateso ujue makusudi ya Mungu bado ni yaleyale na Mungu kamwe hatuwazii mabaya! Nikutie moyo kwanza hondoa aibu fanya kazi yeyote sasa hivi unajiona kuwa huwezi kufanya kazi fulani sababu umesoma ila ujue sometime hiyo ndiyo njia yako.

Pole sana jitahidi yatakwisha tu hayo..!
very constructive idea
 
Kabla hujafikiria mtaji fikiria unataka kufanya nini. Wengi huwa tunawaza mtaji tuuu wakati hatujui tufanye nini. Ungekuwa mfuatiliaji wakati ule wa kipindi cha mwanamke wa nguvu ungejifunza jinsi ya kubeba mimba ya kitu cha kufanya. Ni somo pana, unaweza kutafuta masomo ya ujasiliamali na ukaanza kutamani kufanya kitu... isiweke akili ya mawazo yako kwenye kuajiriwa tu...
mi nina mawazo hapa ya biashara zaid ya 3 lkn sina laki tatu za kuanzia mwaka wa 2 sasa
 
Samahan Kama hutojali naomba unipm namba yako ya simu. nimeshindwa kuku pm, kuna biashara ya mazao huwa tunaifanya kila msimu ambayo ukiwa na mtaji wa kuanzia laki tano,ndan ya miezi 6 unakuwa na zaid ya milion 6 , naweza kukusaidia jinsi ya kufanya.
 
Habarini wanajamvi, Mimi ni msichana natafuta kazi ambayo ni halali itakayoniingizia kipato, Nina degree ya procurement and logistics management.. Kwa mwenye kuweza kunisaidia au anaitaji maelezo zaidi naomba anicheck pm.
Natanguliza Shukrani.

Better mnaofikiria kuajiriwa muanze kujiajiri wenyewe, muondokane na wazo la kwamba ukisoma lazma uajiriwe.
 
Bado tunahakiki vyeti kuna watu bandarini walituambia wa degree kumbe ni darasa la 7
 
Habarini wanajamvi, Mimi ni msichana natafuta kazi ambayo ni halali itakayoniingizia kipato, Nina degree ya procurement and logistics management.. Kwa mwenye kuweza kunisaidia au anaitaji maelezo zaidi naomba anicheck pm.
Natanguliza Shukrani.
Kazi za ndani unaweza kufanya?
 
Back
Top Bottom