haha..haha... mbona umejaa povu pole.Watu kama nyie ovyo kabisa. Ajiajiri vipi, mtaji utampa?.... Mkishapata mnajua kuwambia wenzenu wajiajiri wakati wewe mwenyewe hapo umeajiriwa. Shit
Wewe Ushawahi kupigwa nini ilo Pumbu umu? acha wenye moyo wa kusaidia wasaidie kenge weweHumu hakunaga msaada kuna mabazazi, walaghai,wapiga pumbu, wababaishaji
Wewe na wewe ni Muongo sana iyo ela ni milion 175 au laki 175? kama namba tu zinakuchanganya ivi juice si utaweka ndimu wewe au chumvihaha..haha... mbona umejaa povu pole.
ukweli ni kwamba mtaji anao ila anatakiwa kusaidiwa ili autumie vizuri(sina maana hiyo) cha kwanza kutoa wazo lake humu ni kukuza mtaji wake tosha kuwa anauwezo wa kujieleza kwa tatizo linalomsumbua na humu kuna wadau wengi wanaweza kumsaidia kwa ajira na mawazo mazuri.
mimi pia nimekaa kwa miaka mitano bila ajira nilitafuta kazi ilipofika mwaka wa pili ni kama nikainua mikono ikabidi nikubali ukweli.
wengi wanapenda kujiajiri shida ni hofu ya kuanza tunaanzaje kupoteza heshima tuliyojijengea kwa majirani na marafiki zetu hapo ndo inapokuja kuwa tabu.
nilianza na kuuza juice kwa jumla kwa mtaji wa shillingi elfu tano sukari nilitumia kwanza ya ndani kwa wakati ule nakumbuka maembe ya elfu tatu na passion za buku mbili zilinifaa kutengeneza lita 12 za juice kumi nikauza jumla kwa lita shilingi elfu kwa lita lita mbili zikabaki ndani. nilipolipwa faster nikafata matunda mengine ambay yaliniwezesha kutengeneza zaidi ya lita 20. ndani ya siku hiyohiyo niliagizwa kama ipo nyingine nipeleke nilifanya hivyo mpaka nilifiikia kuuza lita 30 kwa siku ikaniwezesha kulipia umeme maji na kodi mpaka naacha nilisha kuwa na mauzo ya zaidi ya 1750,000 kwa muda wa miezi kama mitatu.
sasa yapo mengi lakini ndivyo nilivyoanza na leo naona naendelea kufanyashughuli ya kujiajiri kwa kuendelea kutumia ujuzi wangu wa shule.
jifunze kutumia maarifa uliyonayo yakupatie kipato kubali kuwa unaweza nawe utaweza. tumia matatizo ya watu kama fursa kwako kwa kupata kipato siku zijazo. anza kuwasaidia bure kisha siku za baadaye itakuwa biashara.
mfano watu wengi wanatamani kuanzisha biashara jifunze na tafuta maarifa kwenye mitandao au hatahapa nenda kwenye jukwaa la wajisiliamali hutakosa kitu kisha hakiksha unakisoma vizuri na tafuta wataalamu wakuelekeze zaidi nawe kawafundishe wengine kwa fedha. mfano hapa nilipo nafundisha watu kutengeneza chakula cha nguruwe kwa kuanzia nafanya bure lakini lengo langu ni kuangalia mafanikio atakayoyapata mteja ila siku zijazo nitafanya na hela kisha nitatengeneza mwenyewe kwa kuwa mtaji wa vifaa nitakuwa nao.
wazo nilipata humu, fomula humu nikaboresha kidogo tu kisha nakuahakikishia nitapiga hela Kwa kweli MUNGU AWALIPE WANAWEZA KUWEKA JINSI WANAYOFANYA SHUGHULI ZAO KWA UWAZI ili na wengine tufaidike.
kwa leo nisikuchoshe.
yakhe! hapo siyo kweli ati .....yeye kaomba ushauri watu wampa maarifa ili yemwenyewe achague ati , asubiri au afanye mbadala? watu wasema vema kujiajiri siyo lazima uwe na mabilioni ndugu akili, maarifa na hasa ukizingatia na elimu aliyonayo tulitegemea na utashi utakuwa umetanuka ati! Yakhe! mie nishamaliza hivyoWatu kama nyie ovyo kabisa. Ajiajiri vipi, mtaji utampa?.... Mkishapata mnajua kuwambia wenzenu wajiajiri wakati wewe mwenyewe hapo umeajiriwa. Shit
Tabia ya kuwaambia watoto wa kismakini wakajiajiri wakati hata mtaji wa laki moja hawana ni upuuz,wakati watoto wa viongozi ambao baba zao wanauwezo wakuwapa mitaji wamewajaza watoto wao benki kuu,uamiaji,jeshini,zima moto na kwingineko,sio kama atupendi kujiajiri mitaji ndo tatizoJiajiri mdada
Kama ujaolewa na pm mama maana natafuta wa kunisaidia kula haka kamshara kanguHabarini wanajamvi, Mimi ni msichana natafuta kazi ambayo ni halali itakayoniingizia kipato, Nina degree ya procurement and logistics management.. Kwa mwenye kuweza kunisaidia au anaitaji maelezo zaidi naomba anicheck pm.
Natanguliza Shukrani.
Watu kama nyie ovyo kabisa. Ajiajiri vipi, mtaji utampa?.... Mkishapata mnajua kuwambia wenzenu wajiajiri wakati wewe mwenyewe hapo umeajiriwa. Shit
Ndio tatizo letu vijana wa leo. Kusoma sio ajira. Mtaji ni akili na mipango yako tu, anaweza kuanza hata na mtaji wa 20,000/=... akazie malengo tu
Humu hakunaga msaada kuna mabazazi, walaghai,wapiga pumbu, wababaishaji
Ngojea ntakupa account ya baba utume kabisa mahari kama 10m itamtosha mkuuKama ujaolewa na pm mama maana natafuta wa kunisaidia kula haka kamshara kangu
Sana tena sana. Procurement ni maliSikukatishi tamaa.... lakini sio lazima watu wote waajiriwe. Jiajiri usipoteze muda. elimu yako itakuwasadia sana kwenye kujiajiri
mi nina mawazo hapa ya biashara zaid ya 3 lkn sina laki tatu za kuanzia mwaka wa 2 sasa
hata wewe wakaribishwaHiyo ni kwa kwa miss kadada au yeyote mkuu,?
Wewe na wewe ni Muongo sana iyo ela ni milion 175 au laki 175? kama namba tu zinakuchanganya ivi juice si utaweka ndimu wewe au chumvi
nidanganye ili inisaidie nini hivi kama unaweza kuuza hata lita 15 kwa siku unafikiri kwa mwezi unapta shilingi ngapi?Wewe na wewe ni Muongo sana iyo ela ni milion 175 au laki 175? kama namba tu zinakuchanganya ivi juice si utaweka ndimu wewe au chumvi