Mwaka mmoja bila Godzilla

Mwaka mmoja bila Godzilla

Program Manager

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
3,084
Reaction score
4,475
Ilikua Siku kama ya leo mwaka 2019 pale familia,wadau,na wapenzi wa muziki wa hip-hop tulikumbwa na majonzi kufuatia taarifa ya kifo Cha msanii kingzilla (king of freestyle bongo.)
Godzilla alifariki alfajiri ya tar 13 Feb 2019 baada ya kuugua ghafla nyumbani kwake mbezi salasala

Historia fupi

Jina lake kamili ni Golden Jacob Mbunda, alizaliwa Januari 5, 1988 mkoani Morogoro. Alitambulika katika tasnia ya muziki kwa wimbo wake ulioitwa 'Salasala', ambao pia unatambulisha mtaa wake aliokuwa akiishi.

Tutazidi kumkumbuka na Mungu amlaze mahala pema peponi
Amen
 
Ni mwaka wa nne sasa mwamba hatuko pamoja naye kimwili lakini kiroho bado anaishi na kazi zake bado zinaishi.
Pumzika kwa amani king
 
Ilikua Siku kama ya leo mwaka 2019 pale familia,wadau,na wapenzi wa muziki wa hip-hop tulikumbwa na majonzi kufuatia taarifa ya kifo Cha msanii kingzilla (king of freestyle bongo.)
Godzilla alifariki alfajiri ya tar 13 Feb 2019 baada ya kuugua ghafla nyumbani kwake mbezi salasala

Historia fupi

Jina lake kamili ni Golden Jacob Mbunda, alizaliwa Januari 5, 1988 mkoani Morogoro. Alitambulika katika tasnia ya muziki kwa wimbo wake ulioitwa 'Salasala', ambao pia unatambulisha mtaa wake aliokuwa akiishi.

Tutazidi kumkumbuka na Mungu amlaze mahala pema peponi
Amen
Jaribu kuyaiga mazuri yake. Kila nafsi itaonja umauti.
 
Huu uzi sio kuwa na comment chache hivi. I just wanna take this time and silence to appreciate his misic and message. Rest easy Godzilla. .
 
Back
Top Bottom