Badala ya kuongeza vifaa vitakavyotumika kwenye uchaguzi na kuhakikisha vinafika kituono kwa wakati wanaongeza magari kwa polisi tena yasiyitumika mara kwa mara kwani hayo ni kwa kazi maalumu wakti kuna mikoa haina zahanati za kutosha, magari wa kubebea wagonjwa na magari ya zimamoto ila kwao hayo si ya kipau mbele kama waliyonunua. kweli kazi ipo.