Mwaka 2025 tunahitaji Wabunge jasiri kama Luhaga Mpina

Daisam

JF-Expert Member
May 23, 2016
2,626
3,141
Ndugu zangu, Nchi yoyote yenye Wabunge Majasiri na wanaojitambua haiwezi kukosa maendeleo.

Wabunge ni watunga sheria na wasimamizi wa Serikali. Kwa hiyo, ukiwa na Wabunge wenye ujasiri, wanaojitambua na wanaowajibika kwa maslahi mapana ya Taifa, hakika Nchi itapata maendeleo makubwa sana.

Mwaka 2025 tunahitaji Wabunge kama Mh. Mpina. Mpina amekuwa akihoji mambo mbalimbali kuhusu utendaji legevu wa baadhi ya viongozi wa Serikali. Mbaya zaidi hata Wabunge wengine kumuunga mkono kwa kupiga tu makofi wanaogopa.

Wabunge wetu amkeni, timizeni wajibu wenu ipasavyo. Mnaogopa nini?

Kweli Mbunge unaogopa hata kupiga makofi ili kuunga mkono hoja za msingi? Kweli?
 
Huwa nasema kila mara wenye akili wapo CCM lundo. Mana CCM ni kama baba wa kila mtanzania.
Tatizo ni kuzitumia hizo akili.

Na sabab kubwa ni kwamba hii nchi ya ki semi communist hatuna mfumo wa vyama vingi unaobalance ushindan.
Ni kama ccm inalea vyama vingine.

Kama ni ndondi za kisiasa, ccm inabid ipigane imefungwa mkono mmoja.

1. Mali zilizopatikana kabla ya mfumo wa vyama vingi zirudi serkalini. Nguvu ya kiuchumi ndo nguvu ya kisiasa.
2. Katiba mpya haraka inayoruhusu mgombea binafs!
3.Vyama vya siasa viwe vichache kama 3 tu.
4. Ccm ife natural death kufanikisha mabadiliko hapo juu. Hasa kupasuka pasuka.
 
Hivi huyu aliingia kwa kura halali za maoni na za wananchi. Watu kama Luhaga Mpina mwisho wao umefika wanatafuta sababu ya kuacha kugombea kupitia sera hizi, kipindi cha ndugu yake John mbona hakuhoji manunuzi ya ndege pasi na bajeti ya bunge, ufisadi wa matilioni ya hela alikaa kimya. Kwanza yeye mwenyewe alinyanyasa wavuvi na wafanyabiashara wa samaki na kupeteza mitaji. Huyu jamaa sio mwema kabisa yeye mwenyewe ni mla rushwa na mtoa rushwa mkubwa
 
Hivi huyu aliingia kwa kura halali za maoni na za wananchi. Watu kama Luhaga Mpina mwisho wao umefika wanatafuta sababu ya kuacha kugombea kupitia sera hizi, kipindi cha ndugu yake John mbona hakuhoji manunuzi ya ndege pasi na bajeti ya bunge, ufisadi wa matilioni ya hela alikaa kimya. Kwanza yeye mwenyewe alinyanyasa wavuvi na wafanyabiashara wa samaki na kupeteza mitaji. Huyu jamaa sio mwema kabisa yeye mwenyewe ni mla rushwa na mtoa rushwa mkubwa
Luhaga mpina sio ndezi kama unavo weza kumfikiria harakati ni jadi yake na angekuwa kitisho hata kwa magufuli. Ili kuwanyamazisha watu kama lugola na mbunge wa mwibara magufuli aliwapa uwaziri
 
Ndugu zangu, Nchi yoyote yenye Wabunge Majasiri na wanaojitambua haiwezi kukosa maendeleo.

Wabunge ni watunga sheria na wasimamizi wa Serikali. Kwa hiyo, ukiwa na Wabunge wenye ujasiri, wanaojitambua na wanaowajibika kwa maslahi mapana ya Taifa, hakika Nchi itapata maendeleo makubwa sana.

Mwaka 2025 tunahitaji Wabunge kama Mh. Mpina. Mpina amekuwa akihoji mambo mbalimbali kuhusu utendaji legevu wa baadhi ya viongozi wa Serikali. Mbaya zaidi hata Wabunge wengine kumuunga mkono kwa kupiga tu makofi wanaogopa.

Wabunge wetu amkeni, timizeni wajibu wenu ipasavyo. Mnaogopa nini?

Kweli Mbunge unaogopa hata kupiga makofi ili kuunga mkono hoja za msingi? Kweli?
"we Mpina nimekuteua kwa sababu wewe ni kichaa kama mimi"

Inasikitisha sana kuona kuna wajinga bado wana hamu ya kuongozwa na vichaa!!
 
"we Mpina nimekuteua kwa sababu wewe ni kichaa kama mimi"

Inasikitisha sana kuona kuna wajinga bado wana hamu ya kuongozwa na vichaa!!
Wewe una akili timamu? Nini unakipigania zaidi ya maslahi binafsi. Chama chako?
 
Hivi huyu aliingia kwa kura halali za maoni na za wananchi. Watu kama Luhaga Mpina mwisho wao umefika wanatafuta sababu ya kuacha kugombea kupitia sera hizi, kipindi cha ndugu yake John mbona hakuhoji manunuzi ya ndege pasi na bajeti ya bunge, ufisadi wa matilioni ya hela alikaa kimya. Kwanza yeye mwenyewe alinyanyasa wavuvi na wafanyabiashara wa samaki na kupeteza mitaji. Huyu jamaa sio mwema kabisa yeye mwenyewe ni mla rushwa na mtoa rushwa mkubwa
 
Ndugu zangu, Nchi yoyote yenye Wabunge Majasiri na wanaojitambua haiwezi kukosa maendeleo.

Wabunge ni watunga sheria na wasimamizi wa Serikali. Kwa hiyo, ukiwa na Wabunge wenye ujasiri, wanaojitambua na wanaowajibika kwa maslahi mapana ya Taifa, hakika Nchi itapata maendeleo makubwa sana.

Mwaka 2025 tunahitaji Wabunge kama Mh. Mpina. Mpina amekuwa akihoji mambo mbalimbali kuhusu utendaji legevu wa baadhi ya viongozi wa Serikali. Mbaya zaidi hata Wabunge wengine kumuunga mkono kwa kupiga tu makofi wanaogopa.

Wabunge wetu amkeni, timizeni wajibu wenu ipasavyo. Mnaogopa nini?

Kweli Mbunge unaogopa hata kupiga makofi ili kuunga mkono hoja za msingi? Kweli?
Wabunge wanafiki kweli wengine wanaona noma hata kupiga makofi, ila jamaa anachoma pale pale panapouma
 
Yes, wanahitajika wabunge watakaotetea maslahi ya taifa na sio kuwakatisha tamaa kwa vijisababu, kama hao wanaompinga wana malaika wao mahali wakawachukue wawapeleke bungeni, ilimradi taifa lipate watetezi wa kutetea rasilimali zetu, sio kuwafunga mdomo ili tuendelee kupigwa tu miaka yote.
 
Huyo Luhaga Mpina sio jasiri wala hana lolote, ni mviziaji. Baada ya kuukosa uwaziri na magufuli kufariki ndio ameanza kuropoka, kabla ya hapo alikuwa anagonga meza na siku akipewa tena uwaziri ataanza tena kugonga meza. Sio yeye tu, yupo pia mbunge wa Tarime vijijini nk

Good Politician stands consistently with truth.
Tusiangalii historia ya familia bali tuangalie mtoto aliyezaliwa.
 
Muulize Mpina kama anataka kuwepo na tume huru ya uchaguzi
Yes, wanahitajika wabunge watakaotetea maslahi ya taifa na sio kuwakatisha tamaa kwa vijisababu, kama hao wanaompinga wana malaika wao mahali wakawachukue wawapeleke bungeni, ilimradi taifa lipate watetezi wa kutetea rasilimali zetu, sio kuwafunga mdomo ili tuendelee kupigwa tu miaka yote.
 
2025 nagombea nikauwashe moto huko Bungeni.

Tuombe Mungu uzima.

Yaani nahakikisha spika anakimbia kiti chake.

Namuwashia moto spika mpaka asepe kama Ndugai.
 
Back
Top Bottom