EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,356
Leo katika mkutano wa siku mbili unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa, wanamazingira wamedai kuwa ujangili unatisha sana kiasi kwamba kufikia mwaka 2020 kutakuwa hakuna tena tembo Tanzania. Wanadai kuwa karibu tembo 30 wanauawa kila siku hapa nchini. Akifungua mkutano huo mapema hivi leo, Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal, amesema kuwa mwaka 2006 Selous-Mikumi ilikuwa na tembo 70,000 lakini mwaka jana ilikuwa imebakiwa na tembo 13,000 tuu.
Wakati huo huo leo majira ya asubuhi Cambodia wamekamata kontena lenye zaidi ya tani tatu za pembe za ndovu (Cambodia seizes three tonnes of ivory). Maafisa wa nchi hiyo wamesema pembe hizo zilikuwa zimehifadhiwa ndani mifuko 108 na kufichwa kwenye kontena lililokuwa na maharage. Wamesema kontena hilo liliingizwa nchini humo kutoka nchi nyingine lakini wamekataa kuitaja hiyo nchi.
Taarifa za chini chini kutoka vyombo vya habari vya Cambodia zinadai kuwa kontena hilo lilitokea Malyasia lakini bado haijulikani lilisafirishwa kutoka nchi gani na kuingia Malaysia kabla ya kupelekwa Cambodia. Inasemekama lilikuwa lipite Cambodia kelekea nchini nyingine. Kwa mujibu wa World Wildlife Fund, kilo moja ya pembe inauzwa zaidi ya dola za Kimarekani 2,200.
========================
Poaching could wipe out Tanzanian elephants in 7 years: Conservationists
Poachers are slaughtering Tanzania's elephants for their ivory at such alarming rates that the population could be completely wiped out in just seven years, conservationists told a conference on Friday.
The two-day UN-backed conference which opened on Friday aims to come up with strategies to stem worsening elephant poaching in Tanzania, a top safari destination determined to protect its prized wildlife assets but struggling to deal with increasingly sophisticated organised crime gangs.
"Approximately 30 elephants a day are killed... at this rate the population will be exterminated by 2020," the Tanzanian Elephant Protection Society (TEPS), an independent conservation group, said.
Tanzanian Vice President Mohamed Gharib Bilal opened the summit by asking for international assistance in battling the increasingly well-organised and equipped poaching gangs. "Organised and intricate poaching networks in and outside the country sustain this illegal trade, thus making it difficult for Tanzania alone to win this battle," Bilal said, painting a bleak picture of the situation.
Source: Poaching could wipe out Tanzanian elephants in 7 years: group
Wakati huo huo leo majira ya asubuhi Cambodia wamekamata kontena lenye zaidi ya tani tatu za pembe za ndovu (Cambodia seizes three tonnes of ivory). Maafisa wa nchi hiyo wamesema pembe hizo zilikuwa zimehifadhiwa ndani mifuko 108 na kufichwa kwenye kontena lililokuwa na maharage. Wamesema kontena hilo liliingizwa nchini humo kutoka nchi nyingine lakini wamekataa kuitaja hiyo nchi.
Taarifa za chini chini kutoka vyombo vya habari vya Cambodia zinadai kuwa kontena hilo lilitokea Malyasia lakini bado haijulikani lilisafirishwa kutoka nchi gani na kuingia Malaysia kabla ya kupelekwa Cambodia. Inasemekama lilikuwa lipite Cambodia kelekea nchini nyingine. Kwa mujibu wa World Wildlife Fund, kilo moja ya pembe inauzwa zaidi ya dola za Kimarekani 2,200.
========================
Poaching could wipe out Tanzanian elephants in 7 years: Conservationists
Poachers are slaughtering Tanzania's elephants for their ivory at such alarming rates that the population could be completely wiped out in just seven years, conservationists told a conference on Friday.
The two-day UN-backed conference which opened on Friday aims to come up with strategies to stem worsening elephant poaching in Tanzania, a top safari destination determined to protect its prized wildlife assets but struggling to deal with increasingly sophisticated organised crime gangs.
"Approximately 30 elephants a day are killed... at this rate the population will be exterminated by 2020," the Tanzanian Elephant Protection Society (TEPS), an independent conservation group, said.
Tanzanian Vice President Mohamed Gharib Bilal opened the summit by asking for international assistance in battling the increasingly well-organised and equipped poaching gangs. "Organised and intricate poaching networks in and outside the country sustain this illegal trade, thus making it difficult for Tanzania alone to win this battle," Bilal said, painting a bleak picture of the situation.
Source: Poaching could wipe out Tanzanian elephants in 7 years: group