floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 855
Habari wakuu,
Napenda kuwashauri wale ndugu zetu waliopata au wanaotarajia kupata ajira hivi karibuni suala la mikopo msilifikirie kabisa.
Kuna ndugu yangu yeye ni mwalimu alikaa mwaka mmoja tuu tangu alipo ajiriwa na kuchukua mkopo unaodumu miaka 4.
Alichopanga kufanya imeshindikana na pesa imeshapotea, matokeo yake haifurahii kazi yake.
Pesa nyingi ipo kwenye inakatwa take home imebaki pesa ya chips na tayari ana mke na mtoto kwa sasa anafikiria kuacha kazi mkopo unamtesa sana na maisha yamekua magumu sana.
Mikopo kero jamani futeni mawazo ya mikopo.
Napenda kuwashauri wale ndugu zetu waliopata au wanaotarajia kupata ajira hivi karibuni suala la mikopo msilifikirie kabisa.
Kuna ndugu yangu yeye ni mwalimu alikaa mwaka mmoja tuu tangu alipo ajiriwa na kuchukua mkopo unaodumu miaka 4.
Alichopanga kufanya imeshindikana na pesa imeshapotea, matokeo yake haifurahii kazi yake.
Pesa nyingi ipo kwenye inakatwa take home imebaki pesa ya chips na tayari ana mke na mtoto kwa sasa anafikiria kuacha kazi mkopo unamtesa sana na maisha yamekua magumu sana.
Mikopo kero jamani futeni mawazo ya mikopo.