Mwafrika apigiwa debe kuwa Papa

Mwafrika apigiwa debe kuwa Papa

Mkuu nakumbuka, naona the guess imeenda pembeni kidogo...

Ni kweli ukiangalia kijuujuu.

1. Papa Francisco ni muitaliano bila kuchanganya damu. Wazazi wake wote wawili walitoka Turin (Torino) Italy. Kama ulivyoishasikia, babake alikuwa mhamiaji na mfanyakazi wa reli huko Argentina. Cardinal Jorge alizaliwa na kukulia Buenos Aires, Argentina.

2A. Nilisema yeyote atakayekuwa Papa lazima jina PETER LAZIMA liwepo kwenye bio yake.
Maana ya Peter- Petro- Pietro maana yake ni jiwe - MWAMBA na ubini wake ni BERGOGLIO na Bergo ni Rock.

B. Baba Mtakatifu amechagua jina la FRANCIS - Francisco - Franciscus kwa kufuata nyayo za Mt. Francis wa ASSISI.

C. Awali Mt. Francis wa Assisi aliitwa GIOVANI PETRO BERNADONE. Huyu alipenda sana kutunza mazingira na aliwapenda sana wanyama na ndege walikula kutoka kiganjani mwake bila woga.
Babake alikuwa tajiri sana lakini Francis baada ya kuwaona ombaomba na kushinda nao aliamua kuacha maisha ya kitajiri na kuwa mtawa na fukara akitangaza na kueneza injili.
 
Ni kweli ukiangalia kijuujuu.

1. Papa Francisco ni muitaliano bila kuchanganya damu. Wazazi wake wote wawili walitoka Turin (Torino) Italy. Kama ulivyoishasikia, babake alikuwa mhamiaji na mfanyakazi wa reli huko Argentina. Cardinal Jorge alizaliwa na kukulia Buenos Aires, Argentina.

2A. Nilisema yeyote atakayekuwa Papa lazima jina PETER LAZIMA liwepo kwenye bio yake.
Maana ya Peter- Petro- Pietro maana yake ni jiwe - MWAMBA na ubini wake ni BERGOGLIO na Bergo ni Rock.

B. Baba Mtakatifu amechagua jina la FRANCIS - Francisco - Franciscus kwa kufuata nyayo za Mt. Francis wa ASSISI.

C. Awali Mt. Francis wa Assisi aliitwa GIOVANI PETRO BERNADONE. Huyu alipenda sana kutunza mazingira na aliwapenda sana wanyama na ndege walikula kutoka kiganjani mwake bila woga.
Babake alikuwa tajiri sana lakini Francis baada ya kuwaona ombaomba na kushinda nao aliamua kuacha maisha ya kitajiri na kuwa mtawa na fukara akitangaza na kueneza injili.

Hizi nondo kali sana. Mkuu NIMEKUKUBALI. Uko fit.

Nina deni kwako mkuu.

Nashauri taaluma hii uianzishie thread ili vijana wengi wanaopoteza muda kujadili siasa wapate elimu ya ziada.

Asante sana.
 
Hizi nondo kali sana. Mkuu NIMEKUKUBALI. Uko fit.

Nina deni kwako mkuu.

Nashauri taaluma hii uianzishie thread ili vijana wengi wanaopoteza muda kujadili siasa wapate elimu ya ziada.

Asante sana.

Ubarikiwe.
Kuna vitabu na watu wengi hasa kizazi cah kuanzia 1980 hawasomi vitabu. Tena siku hizi kuna Internet, waweza soma na kupata taarifa ya jambo lolote in a matter of minutes.

Lakin angalia threads zilizojaa humu, ni sex sex, umbea na upuuzi. Ukiandika la maana unakuwa crushed, pia watu hawataki kufikiri bali hutoa majibu mkato mkato tu tena ya kihuni.
Unaweza kusoma kitabu cha THE LAST POPE na John Hogue au utabiri wa Mt. Malaki au hata utabiri wa NOSTRADAMUS aliye tabiri SEPTEMBER 11
 
Ubarikiwe.
Kuna vitabu na watu wengi hasa kizazi cah kuanzia 1980 hawasomi vitabu. Tena siku hizi kuna Internet, waweza soma na kupata taarifa ya jambo lolote in a matter of minutes.

Lakin angalia threads zilizojaa humu, ni sex sex, umbea na upuuzi. Ukiandika la maana unakuwa crushed, pia watu hawataki kufikiri bali hutoa majibu mkato mkato tu tena ya kihuni.
Unaweza kusoma kitabu cha THE LAST POPE na John Hogue au utabiri wa Mt. Malaki au hata utabiri wa NOSTRADAMUS aliye tabiri SEPTEMBER 11

Mkuu,
Asante sana.
Mungu akubariki. Endelea kumwaka taaluma hapa JF.
 
Haya papa kisha patikana. Mlioshindwa utabiri hakuna kukata rufaa.
 
Back
Top Bottom