Itakuwa akili yako ina matatizo, ligi itaishaje wakati mpo mbele michezo miwili ?Baada ya maafande wa JKT Tanzania kutulindia nafasi yetu kwa mda mrefu.. Hatimae Mnyama karejea kwenye nafasi yake (1).. Mpaka sasa msimamo wa ligi.. Simba SC anaongoza ligi.
Haya sasa Mkuu LAKI si pesa ligi ikiisha mda huu.. Nani atakua bingwa?
Mimi shabiki wa dar young African ndugu, nimeanua kutoa update tu mkuu, ... Na Kwa kiwango hiki cha simba j'pili wajiandae kisaikolojia!!!Leo mtashinda tu kwani mwadui wepesi sana
Mkuu kweli Nina matatizo haswa.. Na matatizo yangu ni kuhifadhi kumbukumbu.. nilichokifanya hapa ni kuwakumbusha mashabiki wenzako wa Ndala, walionzisha hii mada baada ya Ndala kuongoza ligi kwa masaa.Itakuwa akili yako ina matatizo, ligi itaishaje wakati mpo mbele michezo miwili ?
Lakin ndala wako nyuma michezo miwili....Na wana points 9 ujue ..Na jion ya Leo tunarud Kwa kishindo pale juu!!!Mkuu kweli Nina matatizo haswa.. Na matatizo yangu ni kuhifadhi kumbukumbu.. nilichokifanya hapa ni kuwakumbusha mashabi wenzako wa Ndala, walionzisha hii mada baada ya Ndala kuongoza ligi kwa masaa.
Ni kweli Mkuu.. Maana siku nyingi hatujamgonga mtu goli zaidi ya 6. Wanasimba wenzangu tunajiandaaje kupokea matokeo ya ushindi mnono kiasi hiki?Mimi shabiki wa dar young African ndugu, nimeanua kutoa update tu mkuu, ... Na Kwa kiwango hiki cha simba j'pili wajiandae kisaikolojia!!!
Magoli yenyewe mnafunga kimagumashi sana, hizo 6 cjui mtamfunga naniNi kweli Mkuu.. Maana siku nyingi hatujamgonga mtu goli zaidi ya 6. Wanasimba wenzangu tunajiandaaje kupokea matokeo ya ushindi mnono kiasi hiki?
Mwadui wabovu tu, wakikutana na Yanga HT tu goli 6Mwadui 0-3 Simba SC (MK14).. Na mpira ndo kwanza dk 52.
Huyu ndo Kagere tunayemjua sisi.