Akizungumza na Jambo TV leo Januari 09.2025, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi ameeleza namna mawakili wananyanyaswa na vyombo vya dola wakati wanajitoa bure kutetea wananchi.
Mwabukusi amerejelea sakata la wakili kupigwa ndani ya mahakama na kifo cha wakili Joseph Masanja ambacho kilitokea katika hali tatanishi akidai Polisi kushindwa kufanya uchunguzi
Mwabukusi amerejelea sakata la wakili kupigwa ndani ya mahakama na kifo cha wakili Joseph Masanja ambacho kilitokea katika hali tatanishi akidai Polisi kushindwa kufanya uchunguzi