PreGE2025 Mwabukusi: Hili ni shambulio dhidi ya utawala wa sheria

PreGE2025 Mwabukusi: Hili ni shambulio dhidi ya utawala wa sheria

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
maxresdefault.jpg

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Soma Pia: Kutoka Mwananyamala Hospitali: Viongozi wa Chadema Waliovunjwa Miguu hawa hapa

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.
 
View attachment 3314975

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.

Kwa kuwa Polisi wamekuwa wakitumia njia zisizokuwa za kisheria katika kupambana na Watu wa CHADEMA, basi Watu wa CHADEMA nao watakuwa Wana haki ya kutumia njia hizo hizo zisizo za kisheria katika kujihami au katika kupambana na hao Polisi.
 
View attachment 3314975

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.
Ya kila mhusika afunguliwe kesi kwa jina lake ,jana Taifa limepita katika aibu kubwa ,wasiwasi wangu may be huwa kuna watu wanapewa tenda ya kuja kufanya haya? Hainiingii akilini police hawa ambao tunaishi nao vizuri wanaweza fanya unyama wa namna hii,

Nimewahi kuwa na kesi na kuwekwa mahabusu , nilikutana na police mmja wa kike mabega yamechafuka na wakiume 2 mmoja nyota moja, mwingine nyota 3 ,aisee kuanzia nisikiliza , mpaka natoka walikua msaada mkubwa kwangu kwa kesi ile tena ya kubumba .


Hawa watu siku nitawatafuta nikiwa mkoa husika ,hawakuniomba hata sh, ila kwa kusikiliza maelezo yangu tu na upande ule ,walijua kabisa sina threat yoyote , hawa jamaa Mungu awatunze.

Kwa mantiki hii hivi hawa ambao huwafanyia watz wenzao unyama ni watz au huwa wanakodiwa toka mahala?

au ni hawa wa vyeo vya chini tokana na maisha kuwa magum basi akiadiwa posho wanafanya unyama huu.

Au ni wale vijana kutoka kwenye vyuo vya mafunzo flani flani wasiojua nini next
ya maisha yao ya badae huvalishwa magwanda na kufanya unyama huu.
 
25 Aprili 2025
Kigamboni, Dar es Salaam

Chalamila - Dar ipo salama na shwari chini ya mikono ya rais Samia


View: https://m.youtube.com/watch?v=tk-St62goRo

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akiongea leo asema hayo na kuongeza kuwa uchaguzi wa 2025 CCM itashinda kwa kishindo kutokana na kazi nzuri anayofanya rais Samia Hassan. Na tunampongeza rais Samia Hassan kwa kuwa imara na hakuna mtu anayeweza kuvunja amani .

RC Albert Chalamila katika hotuba yake ya utangulizi wakati wa halfa ya ufunguzi wa mradi wa barabara ya lami wilaya ya Kigamboni kumkaribisha rais wa serikali ya Zanzibar aliye pia mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi leo tarehe 25 Aprili 2025 katika muendelezo wa kuelekea maadhimisho kusheherekea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ...
 
Baada ya kusikia Mabalozi kutoka nje pamoja na wananchi wa kawaida wanahamasishwa kuhudhuria kwa wingi! Wahuni wakaona ili kuondoa soo wakawamwaga wale form failure wao barabarani! Na pia wakaja na mahakama ya mtandao, huku wakiwa hawana sababu za msingi za kufanya hivyo, na pia kuiendesha hiyo mahakama huku wakivunja kanuni za kisheria!!

Huu ni ujinga mkubwa sana.
 
View attachment 3314975

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.
Dawa ni jino kwa jino, police wengi wanaishi uraiani
 
Baada ya kusikia Mabalozi kutoka nje pamoja na wananchi wa kawaida wanahamasishwa kuhudhuria kwa wingi! Wahuni wakaona ili kuondoa soo wakawamwaga wale form failure wao barabarani! Na pia wakaja na mahakama ya mtandao, huku wakiwa hawana sababu za msingi za kufanya hivyo, na pia kuiendesha hiyo mahakama huku wakivunja kanuni za kisheria!!

Huu ni ujinga mkubwa sana.
Na hakimu alikua anachekelea tu
 
Ya kila mhusika afunguliwe kesi kwa jina lake ,jana Taifa limepita katika aibu kubwa ,wasiwasi wangu may be huwa kuna watu wanapewa tenda ya kuja kufanya haya? Hainiingii akilini police hawa ambao tunaishi nao vizuri wanaweza fanya unyama wa namna hii,

Nimewahi kuwa na kesi na kuwekwa mahabusu , nilikutana na police mmja wa kike mabega yamechafuka na wakiume 2 mmoja nyota moja, mwingine nyota 3 ,aisee kuanzia nisikiliza , mpaka natoka walikua msaada mkubwa kwangu kwa kesi ile tena ya kubumba .


Hawa watu siku nitawatafuta nikiwa mkoa husika ,hawakuniomba hata sh, ila kwa kusikiliza maelezo yangu tu na upande ule ,walijua kabisa sina threat yoyote , hawa jamaa Mungu awatunze.

Kwa mantiki hii hivi hawa ambao huwafanyia watz wenzao unyama ni watz au huwa wanakodiwa toka mahala?

au ni hawa wa vyeo vya chini tokana na maisha kuwa magum basi akiadiwa posho wanafanya unyama huu.

Au ni wale vijana kutoka kwenye vyuo vya mafunzo flani flani wasiojua nini next
ya maisha yao ya badae huvalishwa magwanda na kufanya unyama huu.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya polisi aliyesoma (mwenye digrii) na yule aliyepata division four ya mwisho! Hawa ambao hawana shule wenyewe huwa wanaamini katika matumizi ya nguvu, amri na ubabe wa kijinga. Hawajawahi kuwa na reasoning!
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya polisi aliyesoma (mwenye digrii) na yule aliyepata division four ya mwisho! Hawa ambao hawana shule wenyewe huwa wanaamini katika matumizi ya nguvu, amri na ubabe wa kijinga. Hawajawahi kuwa na reasoning!
Aisee mkuu ,naanza kupata picha, nilisha pata kesi kama nilivyoeleza lakini huwezi amini
Nikiwa mahabusu tokana na uchovu nilijiegesha kwenye ukuta na kupitiwa na usinginzi ,na wakati huo mwanasheria wangu alikua amefika so kila wakiita jina siitiki , badae akaja kiongozi wa maabusu na kunishutua kwamba wewe si ndo bwana flani ,mbona waitwa na huitiki , ndo nikatoka na kukutana na mlalamikaji chini ya wale police .

So nakubaliana na wewe shule muhim kama ndivyo
 

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Soma Pia: Kutoka Mwananyamala Hospitali: Viongozi wa Chadema Waliovunjwa Miguu hawa hapa

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.
Good thinking
 
25 Aprili 2025
Kigamboni, Dar es Salaam

Chalamila - Dar ipo salama na shwari chini ya mikono ya rais Samia


View: https://m.youtube.com/watch?v=tk-St62goRo

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akiongea leo asema hayo na kuongeza kuwa uchaguzi wa 2025 CCM itashinda kwa kishindo kutokana na kazi nzuri anayofanya rais Samia Hassan. Na tunampongeza rais Samia Hassan kwa kuwa imara na hakuna mtu anayeweza kuvunja amani .

RC Albert Chalamila katika hotuba yake ya utangulizi wakati wa halfa ya ufunguzi wa mradi wa barabara ya lami wilaya ya Kigamboni kumkaribisha rais wa serikali ya Zanzibar aliye pia mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi leo tarehe 25 Aprili 2025 katika muendelezo wa kuelekea maadhimisho kusheherekea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ...

Chalamila ajiandae kuanza kufanya mazoezi ya kingereza japo inasemekana amewahi kuwa mkufunzi wa chuo flani sina hakika na hili ,na kama ndivyo ni matumaini yangu wanafunzi waliopita katika mikono yake watakua vilaza wa kutupa.

Uyu Rafiki yangu Chalamila Tangu akiwa Mbeya ICC atakua mmoja wapo wa wengine
 
Anzeni kwanza kukemea makanisa kuingilia uhuru wa mahakama kwa kuiamuru mahakama imuachie mtuhumiwa bila masharti, vinginevyo polisi wataendelea kuilinda mahakama ili ifanye maamuzi kwa uhuru bila shinikizo kutoka upande wowote.
 

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Soma Pia: Kutoka Mwananyamala Hospitali: Viongozi wa Chadema Waliovunjwa Miguu hawa hapa

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.
Safi sana
 

Nimeshtushwa mno na shambulio la kikatili linalokosa misingi ya utu na lisiloweza kuelezeka mbele ya jamii yeyote uenye watu timamu.

Ni msingi wa Kisheria na Kikatiba kwamba:

1. Mahakama ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila mashinikizo, vitisho au uingiliaji wowote kutoka kwa vyombo vingine vya Dola. Polisi kuzuia wananchi kuhudhuria kesi ni sawa na kudhibiti mazingira ya kimahakama kinyume na Katiba (ya Jamhuri ya Muungano).

Wajibu huo unatakiwa kulindwa na Mahakama yenyewe kupitia hakimu anayeendesha kesi husika. Lazima haki ionekane ikitendeka

2. Wananchi wana haki ya kikatiba, kisheria na kidemokrasia ya kushuhudia mwenendo wa mashauri mahakamani, ili kuhakikisha uwazi na uwajibikaji.

Soma Pia: Kutoka Mwananyamala Hospitali: Viongozi wa Chadema Waliovunjwa Miguu hawa hapa

Kuzuia haki hii bila kuwepo kwa msingi wa kisheria wala kikanuni na kutafuta njia mbadala zinazo zuia haki ya wananchi kushujudia na kuona haki ikitendeka ni kuzuia ushiriki wa umma katika mchakato wa haki.

3. Wananchi wakikusanyika kwa amani kwenda kushuhudia kesi, basi kuwakamata au kuwaumiza na muwatupa porini ni ukiukaji wa haki yao ya kikatiba ya kukusanyika na kujieleza.

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) tumekuwa tukisisitiza na kukemea ukiukaji huu wa sheria na matumizi mabaya ya kisheria.

Tuneielekeza Kamati ya TLS kukaa na kuona namna bora ya kushughukikia jambo hili kwa uzito na njia zinazostahiki.

Tunatoa pole kwa waathiriwa wote wa vitendo hivi vya kikatili vilivyotendwa dhidi yao na pia tunawashauri.

1. Kwenda Polisi Mara moja wapatiwe PF 3 ni haki yao.

2. Wale wanaokataliwa wawekeke kumbu kumbu kumbu ya barua au ushahidi husika ikiwemo picha na Madhila waliyo pata.

Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivi na kuonekana kuanza kuota mizizi na kuzoeleka TLS itaona namna bora ya kushirikiana na waathiriwa katika kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa taasisi na kila muhusika kwa jina lake kuona namna kamilifu ya kushughulikia jambo hili baada ya kupata taarifa kamili kutoka kwa kamati husika.

BAK Mwabukusi
Rais TLS

Rais - TLS.
Safi sana
 
Ya kila mhusika afunguliwe kesi kwa jina lake ,jana Taifa limepita katika aibu kubwa ,wasiwasi wangu may be huwa kuna watu wanapewa tenda ya kuja kufanya haya? Hainiingii akilini police hawa ambao tunaishi nao vizuri wanaweza fanya unyama wa namna hii,

Nimewahi kuwa na kesi na kuwekwa mahabusu , nilikutana na police mmja wa kike mabega yamechafuka na wakiume 2 mmoja nyota moja, mwingine nyota 3 ,aisee kuanzia nisikiliza , mpaka natoka walikua msaada mkubwa kwangu kwa kesi ile tena ya kubumba .


Hawa watu siku nitawatafuta nikiwa mkoa husika ,hawakuniomba hata sh, ila kwa kusikiliza maelezo yangu tu na upande ule ,walijua kabisa sina threat yoyote , hawa jamaa Mungu awatunze.

Kwa mantiki hii hivi hawa ambao huwafanyia watz wenzao unyama ni watz au huwa wanakodiwa toka mahala?

au ni hawa wa vyeo vya chini tokana na maisha kuwa magum basi akiadiwa posho wanafanya unyama huu.

Au ni wale vijana kutoka kwenye vyuo vya mafunzo flani flani wasiojua nini next
ya maisha yao ya badae huvalishwa magwanda na kufanya unyama huu.
Mimi sijui, ila malipo ni hapa hapa duniani.
 
View attachment 3315034
Chalamila hichi ndicho kinachowasubiri ICC Court.
Na tutaona ayo macho yake na tumbo lake kama litabaki vile ,

Chalamila alipopigwa chini kabla ya kurudishwa , akawa nyumbani kwake ana vizia kuwakamata tumbili kwa kuwadanganyia ndizi ,

Chalamila akiwa mkuu wa mkoa wa mbeya alikua mshikaji wangu na hakuwa na kibuli ,sasa sijui dar amekutana na watoto wa kizaramo wamemchanganya ?

Chalamila jiandae kwenda icc ndani ya group la wengine, kama
SSH
Waziri wa Mambo ya ndani
IGP
Mullilo
Nchimbi
Mkuu wa mkoa Ruvuma na mkuu wa police mkoa husika
Mkuu wa mkoa Mbeya na mkuu wa police mkoa husika
Makalla
Mzee wasira(uyu tutamwachia Mungu)

Wakuu wa police wilaya na mikoa ambapo maafa ya kisiasa yalitokea bila kujali yupo kazini au la.

Ni mda wa ICC kutenda haki
 
Back
Top Bottom