SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,756
Mwamba apambanie familia yake halafu tena aje atupambanie wanyonge? Bora aendelee kuwekeza kwenye apartments na bonds ili akimaliza AWAMU Yake awe na cha kuonyesha familia
Misimamo haileti ustawi nyumbaniDunia haitamkumbuka kwa kiwekeza Bali kwa misimamo thabiti
Mnataka kumlaumu Mwambukusi bure, tatizo letu si CCM au CHADEMA, tatizo kubwa ni waafrika wawe huru katika kujiendesha, yaani tuondoe ukoloni mambo leo.Mwamba apambanie familia yake halafu tena aje atupambanie wanyonge? Bora aendelee kuwekeza kwenye apartments na bonds ili akimaliza AWAMU Yake awe na cha kuonyesha familia