Mvuto unaoweza kukutesa

Mvuto unaoweza kukutesa

Habari wanajamvi, poleni kwa mtikisiko wa kiusalama kwa ndugu yetu Lissu dua zetu Allah anazidi kumpa wepesi.

Niende kwenye mada mi nikijana wa 26yrs old nina kazi yangu na najitegemea kwa kila kitu.

Ni kijana mwenye mvuto sana kwa kina dada wa rika zote, kiukweli nasumbuliwa saana hasa na watoto wakali mno.

Nahisi mvuto wangu ni pigo la maisha kwangu kwasababu inabidi niwakimbie viumbe hao kwasababu siwezi kuwashughulikia nina upungufu wa nguvu za kiume juzi hata nimejaribu kutumia dawa za viagra inayoitwa NJOI ndio sikuweza kusima kabisa siku mbili hadi aibu na mrembo niliyekua nae ananidai anataka nimle ili roho yake itulie maana siku ile nilimdanganya kwamba naumwa.

Msaada wenu maana mpaka natamani kujiweka mchafu nivute bangi au niwe mlevi wasinipende naona mvuto wangu unagharimu maisha yangu.

Ahsanteni
Mmmh pole sana kaka, Hebu nenda kwa wataalam wa hayo mambo kama hospital na tiba asili, mungu atakuponya inshallah...
 
Je umewahi jaribu upande mwingine kwako huenda wewe ni chakula ila hujijui
 
Kuwa tu

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kumbe tangazo? Mm nikajua unatafuta dawa?

Anyway supu ya pweza ikuponye
 
Back
Top Bottom