mvuta sigara na condom

mvuta sigara na condom

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,486
Reaction score
61,860
Jamaa alikwenda kununua sigara,alipopewa akataka na kibiriti ili awashie palepale.
Muuzaji akamjibu;haturuhusu kuvuta sigara hapa.
mteja kamuuliza;sasa mbona mnauza?
Muuzaji akamjibu;eboh!! ina maana nikikuuzia condom utataka ut***ee hapa hapa au?.
mia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom