Mvumbuzi wa AK 47 afariki dunia

Mvumbuzi wa AK 47 afariki dunia

we unafkri bila silaha hi dunia ingekuwaje,hata Mungu mwenyewe aliruhusu vita.
 
Dah huyu bwana kaishi hata hivyo jamani, imagine hilo jina Ak 47 linamaanisha Alexander Kalashnkov 1947-mwaka aliogundua hiyo bunduki sijui alikuwa na age gani BTw!

Mkuu sahihisha kdg post yako, Ak=Alexander Kalashnkov, hilo kima jingine huenda sio la identity yake
 
Bora na yeye amekufa tena angetokea mtu amtandike na hiyo AK 47 afe ingekuwa vizuri sana
its not too late, anaweza kutokea mtu akatandika jeneza lake na maiti yake hata risasi mia sio mbaya
 
Pumzika you made it for special matters though people use it for prestige. RIP.
 
Dah huyu bwana kaishi hata hivyo jamani, imagine hilo jina Ak 47 linamaanisha Alexander Kalashnkov 1947-mwaka aliogundua hiyo bunduki sijui alikuwa na age gani BTw!

Mkuu sahihisha kdg post yako, Ak=Alexander Kalashnkov, hilo kima jingine huenda sio la identity yake

Ipo sahihi mkuu
Screenshot_2013-12-24-11-15-00.png
 
Hakuna mwenye akili timamu awezaye kumliumu Kalashnikov kwa ugunduzi wake. kama aligundua silaha kwa minajili ya kujihami, sio haki kuhusishanisa matumizi mabaya ya ugunduzi wake na dhamira yake nyeupe. Kwa mtu yoyote mwenye elimu au utaalamu na silaha za kati bilashaka atakubaliana nami kuwa AK-47 ni bunduki bora zaidi katika kuhimili mazingira mbalimbali katika mapambano dhidi ya adui.
 
Hakuna mwenye akili timamu awezaye kumliumu Kalashnikov kwa ugunduzi wake. kama aligundua silaha kwa minajili ya kujihami, sio haki kuhusishanisa matumizi mabaya ya ugunduzi wake na dhamira yake nyeupe. Kwa mtu yoyote mwenye elimu au utaalamu na silaha za kati bilashaka atakubaliana nami kuwa AK-47 ni bunduki bora zaidi katika kuhimili mazingira mbalimbali katika mapambano dhidi ya adui.
mathabane hata asingegundua bado watu wangeuana kwa silaha na mbinu nyingine.kumbuka hata maandiko ya dini yanasimulia uwepo wa silaha na mapigano mbalimbali
 
Last edited by a moderator:
mathabane hata asingegundua bado watu wangeuana kwa silaha na mbinu nyingine.kumbuka hata maandiko ya dini yanasimulia uwepo wa silaha na mapigano mbalimbali

Ikra bismi rabbik !.........soma kwa jina la Mwenyezi Mungu !
(fanya kitu ukitanguliza hofu ya Mwenyezi Mungu mbele yako)
 
Last edited by a moderator:
Mikhail Kalashnikov hakuvumbua AK47 bali aliisanifu (design). Katika kipindi cha miaka 70 iliyopita, AK47 zimetumiwa na wapigania uhuru, majeshi ya ulinzi na usalama, magaidi na majambazi duniani kote, lakini tukumbuke kuwa BUNDUKI HAZIUI WATU. WATU WANAUA WATU.
 
Back
Top Bottom